Timu ya mpira wa kikapu nchini marekani Blooklyn Nets imefanya usajili wa mchezaji wa zamani wa timu hiyo Michaell Beasley ili kuisaidia timu hiyo kunako ligi ya NBA.
Timu imethibitisha usajili huo kwa maelezo siku ya Ijumaa.Tumemuita Beasley “Mchezaji wa akiba.”
Beasley hajacheza kwenye ligi ya NBA tangu mwezi Februari msimu uliopita lakini alikuwa akicheza ligi ya kikapu ya China inayojulikana kama Chinese Basketball Association akiwa na timu ya Guangdong Southern Tigers.
Usajili huo umekuja baada ya Nets kumsajili mkongwe mwingine Jamal Crawford ikiwa ni hatu a ya Blooklyn wakijaribu kuongeza ushindani katika mbio za kufanya vizuri NBA ambapo timu 22 zitachuana mjini Orlando, Frolida mwezi huu mwishoni.
Beasley mwenye umri wa miaka 31 na Crawford mwenye umri wa miaka 40 wameongezwa katika kikosi cha Nets kufuatia kikosi hicho kuwa na wachezaji pungufu kutokana baadhi ya wacheaji hawajapona majeraha yaliyokuwa yakiwasibu.
Michael Beasley
DeAndre Jordan,Tauren Prince na mlinzi Dinwiddie wamepimwa na kukutwa na maambukizi ya Corona na wamesema hawatojiunga na timu Orlando.Mfungaji Wilson Chandlernaye pia amesema “Afya ya familia yangu ndio kitu cha kwanza cha kuizingatia.”
Kelvin Durant pia hata vaa jezi za Nets kutokana na kuendelea kuuguza majeraha wakati Kyrie Irvinghatocheza kwa msimu wote baada ya kufanyiwa upasuaji wa bega mwezi machi.
Kutokana na idadi kubwa ya wachezaji muhimu kuwa nje, mchezaji wa kati Jarrett Allen na walinzi wafungaji Caris LeVert na Joe Harris watakuwa wakiongoza utafutaji wa pointi pindi NBA ikirejea mwezi julai 31.
Beasley ana wastani wa alama 12.4 na repound 4.7 katika michezo 609 kwenye NBA.
Beasley amecheza katika timu tofauti za NBA timu hizo ni kama Miami Heat,Minnesota Timberwolves,Phoenix Suns, Huston Rockets,Milwaukee, New York Knicks na Los Angeles Lakers.



Tahiya
Ni habari nzur kwa mashabiki
warda
Beasley Anajua sana Daaa!!!Mbona raha#Meridianbettz
Furahav
Safi
Nasra
Nice
devotha
safi sana ni jambo zuri kusajili wachezaji wa zamani ikiwa wanao uwezo
Revina
Blooklyn ni mtaalamu sana ,na mjuzi wa mchezo wa kikapu
Ernest
Blooklyn wanarudi kivingine
Gabriel
Nice update 👍
Issa
Beasley ni mchezaji hodari blooklyn nets wamepata hapa
Edgar
Safi sana
Neema juma
Wamefanya jambo la maana
Hope mwaikuka
Kwa ss wapenda basketball tunaona raha tu
Sadick
Brooklyn ipo katika wakati mgumu hivyo imefanya maamuzi magumu. Pamoja na usajiri sitarajii watafanya maajabu yoyote kutoka na moto wa LA LAKERS na TORONTO RAPTORS#meridianbettz
Njiku
Gud news
Shafii
Ni jambo zuri Sana.
Omary lukumbi
Brooklyn itakuja kua moto sana kwa kufanya usajili wa mchezaj makini sana na shupavu
Edgar
Iko poa
Winfrida
Kazi nzr brooklyn
Sabrina
Maoni:safi sana
Latifa juma mohamed
Safi kbs
Isaya massawe
Ni faida kwa upande wao
David Pere
Hawa nao wamekwama Yani mpaka wanasjili wakongwe walio zeeka
Zuhura omary kindamba
Naona anaweza kuwasaidia kiupande wao
mwakalosi
dah wameniangusha aisee
Flomena
Good news
Leonard
Vizuri atawaletea mafanikio
Hamidu
Goods news
Amani
Pamoja na usajiri sitarajii watafanya maajabu yoyote #meridianbettz
Samira
Hopefully huu usajili utaleta mabadiriko hapo Blooklyn
Adelta
Wamefanya Jambo jema
Fatuma kasomo
Ni jambo zuri
Magdalena
Habari njema kijana ni mahili katika mpira wa kikapu Nina Imani hawatojuta kumsajili
Dorophina
Ni jambo zuri ingawa kwa sasa hawako vizuri kbs
caroline
N.B.A itafika mbali sana.kama wamemsajili mkongwe uyu
Ester jackson
Amefanya usajili mzuri naamini utaleta Mabadiliko
Lydia Emmanuel Magoti
Safii sana
Genia Sikaluzwe
Habari njema Sana
isha
Safi sana
Fatina mfingi
Safi
Tatu
Good news
felister
Beasley fundi
Povel tz
Gud news
Samiah
Safi sanaaa
lombo
mambo ni moto na meridianbet
mwajuma
Safi sana#Meridianbettz
Rehema
Safi
Zeiyana
Ni jambo zuri sana
Amiri Kayera
Nic
Salma
Habari nzuri kwa mashabiki
Latifa juma mohamed
Iko poa