Manchester City wameshinda michezo yao miwili iliyopita ya EPL kwa kufungwa mabao 5+, mara ya kwanza hii imetokea kwenye ligi tangu City wao wenyewe walipofanya hivyo katika mechi tatu mfululizo mnamo Septemba 2017.

Man City wamefunga mabao 5+ katika mechi 19 kati ya michezo yao 149 PL chini ya Pep Guardiola (12.7%) – wamefunga mabao matano kwenye mechi ya PL dhidi ya wapinzani tofauti 15. Hii ni mara ya 32 Manchester City kufunga mabao 4+ katika mchezo wa Premier League chini ya Pep Guardiola – tangu kuanza kwa msimu wa 2016/17, hii ni zaidi ya timu nyingine yeyote kwenye Mashindano.
Manchester City wamefunga mabao 15 ya PL kutokea nje ya boksi msimu huu – Takribani Matatu zaidi kuliko upande mwingine wowote. Manchester City ndio timu pekee inayowafuatia kwa point mabingwa wa Ligi kuu ya Uingereza kwa tofauti ya point 21 wakifuatiwa na Chelsea wenye point 62.


Njiku
Kipigo akiwasaidii chochote
Aziza mushi
Man nawakubali .
theckla
Man City wako vizuri sana
David Pere
Wamesajili vizuri lazima wawnseleze ushindi kwenye mechi zilizobakia
Salma
Man city wako vizuri
Samiah
Wako vzr sanaa Man city
mwakalosi
sio future ya pep city
Mwajuma
Man city wapo vizuri maana yake magoli waliowafunga mabigwa sio poa
Evaluziga
Kipigo akiwasaidii chochote
Angelina
Nawakubali city
Fatuma kasomo
Man wapo vizuri
warda
City Wanajitahidi sana#Meridianbettz
Mwanahamisi
Man nawakubali sana
Zeiyana
Man city wamekuja na moto wa hatari
Magdalena
Man City wanajitahidi kufuta makosa yao kwa kasi
Lydia Emmanuel Magoti
Man City wapo vizuri
Tatu
Man city wako vizuri msimu huu#meridianbet
isha
Wako vizuri sana man nawakubali
felister
ushindi lazima
Johnmary joel
Wazidi kukazana zaid#meridianbett
caroline
asante meridianbet kwa taarifa
Franky
Good news
Omary lukumbi
Man city wako vzr sana na pep kocha bora zaid epl mtu mwenye rekod zake
Shafii
Man city jeshi.
Edgar
Washa tepeta ao
Gabriel
Habar njema sana 👍
Issa
City big up
Hope mwaikuka
Nawaaminia man city
farida ahmadi
Mambo mazuri hayoo man city
Furahav
Iko vizuri man city
devotha
man city wako vizuri sana, wanajua;
Povel tz
City wapo vzr msimu huu wametelezah tu
sabrina
Man city wako vizuri
Amiri Kayera
Wana forward Kali san km simba
Asia Abdy
City hawana masiara
Latifa juma mohamed
Kwa ujumla mancity wapo vzr tu cjui wamepungukiwa nn msimu huu
Ernest
City walistahili ubingwa kwa mara nyingine sema bahati haikuwa kwako kwenye mechi kadhaa walizopoteza Nadhani ni msimu ambao hawatosahau
Dorophina
Man City wapo vizuri huna awakubali kupoteza mechi kirahic
Genia Sikaluzwe
Ni habari njema Sana kwa mashabiki wa man City
Neema juma
Man city hawana mpinzani.wako vizuri
Saupha mohamed
Good news