Huku Ratiba ya EPL ikionyesha zimebaki mechi 4 tu msimu kumalizika, Chelsea hadi sasa wamekaa nafasi ya 3 alama mbili tu mbele ya Manchester United iliyopo nafasi ya tano, pambano la leo dhidi ya timu ya Chris Wilder wa Sheffield ni shoo nyingine nzito kwa Blues kwani lazima kushinda kujihakikishia nafasi kwenye Ligi ya Mabingwa msimu ujao .

Ugumu wa game ya leo ni kwamba Sheffield United pia wanatamani kucheza mashindano ya Ulaya msimu ujao, hii haitakuwa mechi rahisi na inaweza kushinda timu yoyote.
The Blade – Timu ya Sheffield United
Chini ya kocha wake mahili Chris Wilder, Sheffield wamekuwa na maajabu msimu huu. Licha ya bajeti ndogo, timu inakimbikiza katika Ligi, na sasa wamekaa katika nafasi ya saba kwa alama 51, mbele ya wakongwe kama Arsenal na Spurs.
Kwa kuzingatia kwamba ni timu mpya iliyopanda daraja msimu huu. Kuingia kwenye mchezo dhidi ya Chelsea, Blades hawajapoteza katika michezo yao mitano ya nyumbani.
Sababu kubwa ya kufanikiwa kwao msimu huu ni safi yao bora ya ulinzi yenye watu watano ambao wameruhusu mabao 33 tu, na kuifanya kuwa ya nne katika timu zilizoruhusu mabao machache msimu huu pamoja na Manchester United, Liverpool na Leicester City.
Kikosi cha Sheffield United dhidi ya Chelsea.
Golikipa: Henderson;
Eneo la Ulinzi: Basham, Egan, O’Connell;
Eneo la kati: Baldock, Lundstram, Norwood, Berge, Stevens;
Washambuliaji: Sharp, McGoldrick
The Blues – Chelsea
Chelsea inaingia kwenye shoo ngumu dhidi ya vijana wa Wilder, lakini wakiwa katika fomu bora baada ya kushinda mechi nne kati ya tano za Ligi tangu irejee baada ya lockdown.

Kitu kitakachomsumbua kocha mkuu wa timu hiyo, Frank Lampard, ni aina ya wapinzani wawili wanaomfukuza kwa karibu kuwania nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa yani Leicester City na Manchester United, ambao anawazidi alama moja na mbili kwa nyuma.
Kwa hali ilivyo, haitajiki kupoteza katika mechi nne zilizobaki, na Lampard atataka timu yake kuanza kupambana kwenye kila mechi hizo kupata ushindi.
Mahala pekee, panapotia shaka kwa Lampard ni safu yake ya ulinzi ambayo inavuja. Imeruhusu mabao 46 katika mechi 34 za Ligi na wakipata clean sheets mbili tu kwenye mechi 10 za mwisho za ligi.
Kikosi cha Chelsea dhidi ya Sheffield United.
Golikipa: Kepa Arrizabalaga
Safu ya ulinzi: Cesar Azpilicueta, Reece James, Antonio Rudiger, Andreas Christensen, Kurt Zouma, Marcos Alonso, Emerson Palmieri
Safu ya kati: Jorginho, Ruben Loftus-Cheek, Ross Barkley, Mateo Kovacic, Mason Mount
Safu ya ushambuliaji: Willian, Pedro, Christian Pulisic, Callum Hudson-Odoi; Tammy Abraham, Olivier Giroud, Michy Batshuayi, Faustino Anjorin


Franky
Nice
Hope mwaikuka
Vzur
Amiri Kayera
Mech itakua nzur
devotha
kwa kikosi hiki nauona ushindi kwa chelsea
Hamidu
Asante meridianbettz kwa update za michezo#meridianbettz
felister
sisi wapenzi wa sheffield tunacomment wapi
Janeflora malisa
Good
Amani
Asante meridianbettz kwa update za michezo#meridianbettz
Issa
Mtanange mgumu sana
Ernest
Mechi ngumu sana lakini Chelsea wananafasi kubwa sana ya kunyakuwa point 3 muhimu ukiangalia ubora wa kikosi
Furahav
Hii mechi chelsea atafungwa 2-0
Samiah
Ushindi kwa chelsea
Sadick
Chelsea imeruhusu magoli mengi sana msimu huu. Ina beki line mbovu na hakuna washambuliaji mahiri sana. Ni mechi inayotegemea bahati zaidi#meridianbettz
theckla
Ni meche ngum ila Nampa ushindi Chelsea
Edgar
Chelsea afungwe
Theonestina
Saafi
Njiku
Ipo poa hii
Gabriel
Duuuh! Mchezo utakuwa hatar sana huu
Omary lukumbi
Mechi kali sana
Tahiya
Big match iyo
Saupha mohamed
Safii
farida ahmadi
Hii mechi kalii Sana si ya mchezo yaan
Salma
Kivumbi
Frank Patrick
Kivyovyote hii ni game ngumu tusishangae chelsea akafa
Latifa juma mohamed
Hii mechi ni ngumu kwa kweli
David Pere
Mechi ilionekana Kama Chelsea wanashinda lakini gonna likawabadikia
Neema juma
Mechi kaliiiii
Flomena
Sababu kubwa ya kufanikiwa kwao msimu huu ni safi yao bora ya ulinzi yenye watu watano ambao wameruhusu mabao 33 tu, na kuifanya kuwa ya nne katika timu zilizoruhusu mabao machache msimu huu pamoja na Manchester United, Liverpool na Leicester City.
Fatuma kasomo
Mechi itakua poa sana
mwajuma
Mechi kali#Meridianbettz
Adelta
Hii mechi Ni ngumu Ila Chelsea
Atashinda
isha
Chelsea nawaona wananafasi kubwa ya kupata point 3
Ester jackson
Majeruhi ni wengi na wanategemewa kwenye timu hivyo Jana palikuwa na upungufu mkubwa hasa upande wa mabeki palikuwa pabovi na kuruhusu magoli hivyo kwa njia hii Chelsea kuwa katika kiwango kinzuri ni bahati nasibu sana haswa kwa mechi ambayo mashabiki wengi wanaisubiria kati ya Chelsea na Manchester united sijui kama wataweza kushinda.
Genia Sikaluzwe
Safi
Zeiyana
Chelsea kwa nafasi walio kua nayo hinaonesha wamepambana sana hadi kufikia hapo kwa muonekano tu sheffied united hawezi kumfunga chelsea ila kikubwa Chelsea wasijisahau kwani sheffied united pia wanatamani kucheza mashindano ya ulaya msimu hujao
Rehema
Kudadeki kivumbi
Mwanahamisi
Big mechi
Johnmary joel
Dakika90 zitaamua#meridianbett
Fatina mfingi
Mechi itakuwa kali snaaa
Tatu
Chelsea win
tumaini
Maoni:safi
Dorophina
Mechi ngumu sana hii hapo inabidi chelsea ajitahidi haongeze point
Khadija
Hii mechi chelsea lazima wafungwe 3-6#meridianbettz
lombo
thankx 4 news
Isaya massawe
Uchambuzi unanishawishi kuweka jamvi
Magdalena
Chelsea ni timu imekuwa ikijitahidi kufanya vizuri Nina Iman ata sasa itafanya vizuri zaidi
Shafii
Chelsea kafa
theckla
Mkeka wangu Nampa Chelsea
mwakalosi
ninyi mnawakela watu sasa mtu keshakufa tatu badala ya kumpa pole mnaanza kumwambia umekosea hivi hii sio sawa
warda
Ilikuwa poa sana#Meridianbettz
sabrina
Asante kwa taarifa