Klabu ya kandanda ya Hertha Berlin inalenga kurejea katika ligi kuu ya soka ya Bundesliga msimu ujao tofauti na harakati zake katika msimu uliopita, amenukuliuwa akisema Rais wa klabu hiyo, Werner Gegenbauer.
Klabu ya kandanda ya Hertha Berlin inalenga kurejea katika kandanda la Ulaya kwa kufanya vyema katika ligi kuu ya soka ya Bundesliga msimu ujao tofauti na harakati zake katika msimu uliopita, amenukuliuwa akisema Rais wa klabu hiyo, Werner Gegenbauer, wakati akizunguma na gazeti la Bild.
Hertha ilimaliza msimu katika nafasi ya 10 kwenye msimamo wa ligi kuu ya Bundesliga iliyofikia tamati mwishoni mwa mwezi uliopita, huku ikikutana na changamoto nyingi ikiwemo fukuza fukuza ya makocha wanne tofauti katika msimu mzima akiwemo Juergen Klinsmann.
“Tunaangazia mbele, nafasi za juu katika msimamo wa ligi ni malengo yetu. Hii pia inajumuisha kufuzu nafasi ya kucheza michuano ya soka ya Ulaya, bora katika ligi ya Mabingwa,”aliongeza, Gegenbauer
Hertha ambao mnamo mwaka 1978 hadi 1979 walifanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali ya kombe la UEFA na mara ya mwisho kwa klabu hiyo kushiriki katika ligi ya Europa ambapo waliondolewa katika hatua ya makundi.
Hertha wanarejea tena katika msimu ujao wa Bundesliga na mfadhiri wao Lars Windhorst ambaye hivi karibuni, alitangaza atawekeza euro milioni 150 sawa dola za Kimarekani 169 kwa klabu hiyo akitaka kuifanya kuwa miongoni mwa miamba ya soka nchini Ujerumani kwa muda mrefu.
Unafurahia kubashiri michezo gani?
Yote unaipata hapa Meridianbet
Winfrida
Habari njema
Sabrina
Maoni:Hartha Berlin wanakaribiswa Bundesliga waje kusakata kabumbu
Hope mwaikuka
Itakua poa
Issa
Dah irudi bundesliga kitambo sana
Omary lukumbi
Duu imekua vzr kuleta challenge kwenye nafasi za juu kushiriki europa au uefa
Gabriel
Nice update 👍
Dee
Ahsante kwa taarifa
Theckla
Hertha wanajitahidi sana
David Pere
Kama watajiandaa vizuri wataweza kurudi kwa kishindo
Zuhura omary kindamba
Asante Meridianbet kwa taarifa njema kama hii
mwakalosi
ngoja tuone
Flomena
Waooow that Great
Leonard
Ajipange tu
Hamidu
Wajipange Sana ligi bundesiliga sio ya mchezo mchezo#meridianbettz
Samira
Waongeza juhudi zaidi ili wafikie malengo yao kucheza bundasliga
Amani
Klabu ya Hertha Berlin inalenga kurejea katika kandanda la Ulaya kwa kufanya vyema katika ligi kuu ya soka ya Bundesliga msimu ujao tofauti na harakati zake katika msimu uliopita#meridianbettz
Adelta
Asante kwa taarifa #meridianbettz
Fatuma kasomo
Wajipange sana ligi sio lelemama
Dorophina
Wajipange ligi ya bundersliga sio ya kitoto ngoja tuone itakavyokuwa
caroline
karibuni tena
mwajuma
Hertha wanajitaidi sana#Meridianbettz
Magdalena
Itapendeza ikirejea
Ester jackson
Wajipange kila kitu ni malengo yenye uhakika kama watafanya maziezi ya kutosha basi wanaweza kufanya mchezo ukawa mzuri wenye mafanikio
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri
isha
Itapendeza sana wakirejea
Genia Sikaluzwe
Itakuwa nzuri wakirejea
Fatina mfingi
Hitakuwa nzur
Tatu
Wafanye maandalizi ya kutosha
felister
kama watajiandaa vya kutosha watarudi kwa kishindo
Zeiyana
Kufukuza makocha sio sababu hinataikiwa husajiri wa wachezaji wenye huwezo wa haina yake kidogo ili kufikia malengo ya kufuzu nafasi ya kuchezea michuano ya soka la ulaya ukiangalia hapo nyuma walifanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali ya kombe la UEF
Ester mmakasa
Wafanye kweli sisi yetu macho tuu.
Nasra
Asantee kwa Taarifa
Ernest
Natumaini Hertha wataleta mapinduzi msimu ujao
Povel tz
Berlin hertha waanzag vzr kumaliziah inakuwagah shda sana
lombo
gud
Samiah
Good news
Rehema
Asante kwa makala
Njiku
Gud news
Amiri Kayera
Nic team
Isaya massawe
Watakua wamejipanga vema
Furahav
Bac itakuwa balaa.
devotha
habari njema
Salma
Ni vizuri kujipa moyo
Shafii
Habari njema kwa wana hertha.
warda
Vizuri sana kujipa moyo#Meridianbettz
Latifa juma mohamed
Yaa nice team.