Kaka wa Serge Aurier Auwawa Nchini Ufaransa.

Kaka wa beki wa timu ya Tottenham Serge Aurier amefariki, klabu hiyo ya Premier League yathibitisha.

Spurs wametoa maelezo kwenye mitando ya kijamii kwa kuthibitisha kwamba Christopher Aurier ameuwawa mapema siku ya Jumatatu.

Ripoti za Ufaransa zime eleza ni jinsi gani alivyo pigwa risasi alipo hudhuria klabu za usiku mjini Toulouse.

Christopher Aurier alikuwa na umri wa miaka 26 na kipindi cha nyuma alisha wahi kupewa ofa ya kusajiliwa na timu ya Lens wakati alipokuwa akicheza katika vilabu vingine vinavyo shiriki Ligi ndogo ya Ufaransa.

Taarifa ya Tottenham ilisomeka kama ifuatavyo: “Klabu inasikitika sana kuthibitisha kutoka vyombo vya habari kwamba kaka wa Serge Aurier ameaga dunia masaa ya mapema Asubuhi ya leo.

“Kila mtu kwenye klabu ametuma salamu za pole kwa Serge na familia yake. Tupo pamoja katika kipindi kigumu na wote.

Serge Aurier mwenye umri wa miaka 27, alicheza dakika zote 90 kwenye debi yao na Arsenal ambapo Spurs ilibuka na ushindi wa 2-1 katika Premier League siku ya Jumapili pia Serge ni nahodha wa timu ya taifa ya Ivory Coast.

Mdogo wake huyo pia alikuwa ni mtaifa wa nchi hiyo iliyopo ukanda wa Afrika magharibi.

 


Kuna ofa kibao sana unazofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet Jiunge sasa kufurahia ofa zetu.

Bonyeza HAPA Kujiunga.

 

43 Komentara

    Pole sana segie mungu akusaidie uwe na moyo thabit kipindi hiki ulichoondokewa na braza wako

    Jibu

    Taharifa za kusikitisha kwa Serge Aurier…

    Jibu

    Serge mungu amtie nguvu katika kipindi hiki kigumu anacho pitia kuondokewa na kaka yake R.I.P Christopher

    Jibu

    Pole sana Serge Aurier kwa msiba mzito…

    Jibu

    Habari mbaya Sana Pole Sana Serge

    Jibu

    Duuh pole sana kwa msiba aurier

    Jibu

    Pole sana kwakuondokewa na kaka yake kipenzi

    Jibu

    Duu kitendo kilicho fanyika niumafya pole Sana Wana Serge

    Jibu

    Rip

    Jibu

    Pole sana serge kwa kuwawa kaka ako tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu kwako

    Jibu

    Mungu aitie nguvu familia katika kipindi hiki kigumu

    Jibu

    Mbele yake nyuma yetu

    Jibu

    R.I.P

    Jibu

    dah jmn .R.I.P Kaka

    Jibu

    Pole Sana serge

    Jibu

    R.I.P

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Bad news

    Jibu

    R.ip

    Jibu

    Rest in peace Christopher Aurier;
    pole sana Serge Auriel Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki cha majonzi kwako

    Jibu

    Rip

    Jibu

    Duuh!

    Jibu

    Duh ni habari mbaya kwa Serge

    Jibu

    R.I.P

    Jibu

    R.I.P

    Jibu

    Duh habar mbaya sana kwa aurier mungu amuongozeh katika kpnd hk kigumu

    Jibu

    Pole San mwamba

    Jibu

    Duuh nihabari zakusikitisha

    Jibu

    Habari ya kusikitisha sana

    Jibu

    Oohhh it so sad rest in peace.

    Jibu

    R.I.P

    Jibu

    R I P KAMANDAA

    Jibu

    R.I.p

    Jibu

    Pole sana senego kwa kuondokewa na kaka yako wote safari moja

    Jibu

    Habari ya kuuzunisha kw serge RIP christopher

    Jibu

    Ni habari za kusikitisha Sana hizi

    Jibu

    Binadamu ni mavumbi mavumbini tutarejea raha ya milele umpe eeh bwna na mwanga wa milele umuangazie

    Jibu

    Inahuzunishaaa poleni wafiwa

    Jibu

    Apumzike kwa amani

    Jibu

    Pole Sana kwa familia ya kiungo huyo

    Jibu

    Duuu rip

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.