Klabu ya Wolverhampton Wanderers ilishuka dimbani kuumana na Everton siku ya Jumapili katika dimba lao la nyumbani na kuicharaza goli 3-0.
Wanderers wamerudi katika moto wao wa kushinda baada ya kupata matokeo mabaya mfululizo, kwenye mechi dhidi ya Sheffield United na Arsenal .
Raul Jimenez ndio alianza kufungua ubao wa magoli kwa mkwaju wa penati kipindi cha kwanza cha mchezo baada Clumsy Lucas kumchezea madhambi Daniel Podence.

Goli la kichwa la Leander Dendoncker likaipa Wolves goli la pili sekunde chache mara baada ya kipindi chapili kuanza, Diogo Jota akakamilisha ushindi wa goli tatu dakika ya 74.
Wolves wamerudi katika nafasi ya sita kwenye msimamo wa EPL, alama tatu nyuma ya Mnachester United waliopo nafasi ya tano, na hii itakuwa nafasi nzuri kwa Wolves kupata nafasi ya Wolves kufuzu kwenye mashindano ya Ulaya msimu ujao.
Na hizi zitakuwa ni habari mbaya kwa kocha Carlo Anceloti, ambaye kwenye kikosi chake aliwakosa wachezaji Mason Holgate na beki wa kati Yerry Mina ambaye alitolewa dakika ya 13 kipindi cha kwanza baada ya kupata tatizo kwenye paja.
Everton wapo katika nafsi ya 11 kwenye msimamo wakiwa na alama 45 nyuma Spurs na Burnley ikiwa tayari wamecheza mech 35 wamesalia na michezo mitatu kuhitimisha msimu Preimier League.
Pata Ofa kibao na meridianbet jiunge sasa!


Njiku
Walistahili maana waliupiga mwingi sana
Issa
Wolves wanatimu nzuri na kuichapa everton ni kawaida na wanazidi kuitafuta nafasi ya kucheza europa
devotha
hongera sana wolves
Furahav
Hii wolves naikubali sana.
Magdalena
Wolves nao wanakuja kwa kasi ya 4G hongera sana kwao
Sadick
Mbwa mwitu wanataka kucheza Europa hapo thamani ya Traore itaongezeka#meridianbettz
Nasra
Wolves wapo poa saiv
Franky
Duh nili mkataa kwenye mkeka wangu uyo evarton
Shafii
Habari njema kwa mashabiki wa wolves
Neema juma
Wametisha balaa wako vizuri
Edgar
Safi sana
Samiah
Safi sanaaa
Leonard
Wolves wa moto mno
Latifa juma mohamed
Kipigilo c Cha mchezo
Saupha mohamed
Hongera wolve
Hope mwaikuka
Wolves nilshawatabiria
Tahiya
Wolves wako vizur watafika mbali msimu uko
Samira
Wolves wamecheza kwa kiwango kizuri sana
theckla
Mkeka wangu Nampa wolves
David Pere
Kweli EPL kila mnabe Ana mnabe wake,Yani kila mtu anshindia kwake
Salma
Safi sana
mwakalosi
kipigo cha uhakika aisee hawakuwa na huruma kisa arsenal asiwakaribie wana roho mbaya hawa
Amani
wanataka kucheza Europa hapo thamani ya Traore itaongezeka#meridianbettz
Mwajuma
Da huu mpira auna formula
Evaluziga
Waves nao wanakuja moto
Angelina
Safi wolves
Fatuma kasomo
Safi sana
warda
Wolves wanajitahidi sana#Meridianbettz
Mwanahamisi
Hongera wolve
Zeiyana
Wolves wanaonekana wana hamasa ya kuingia fainali
Tatu
Hongera sana wolves#meridianbet
isha
Mnyonge mnyogeni lakini haki yeke mpeni wolves now time wako.vizuri sana nawakubali
felister
Ameshanichania wolves mkeka wangu
Lydia Emmanuel Magoti
Safii sana
Khadija
Safi sana#meridianbettz
caroline
ha ha ha ah nilijua tu wolves lazima ashinde
Omary lukumbi
Raul amekua akitikisha sana msimu huu ni kuweka Wolverhampton kwenye mbio za kushiriki europa league msimu ujao
Gabriel
Habar njema
Isaya massawe
Hawa ndo mbweha bhana sana hatari awakopeshi kabisa yani
farida ahmadi
Mechi ilikuwa kalii Sana hii hongera Sana wolves
sabrina
Hongera sana Wolves
Amiri Kayera
Everton washachok league
Asia Abdy
They dissolve
Latifa juma mohamed
Wolves sio wa mchezo Safi Sana endeleen vipigo kwa wengine
Ernest
Wolves wapo vizuri sana imekuwa timu ya ushindani ndani ya EPL
tumaini
Maoni:safi sana
Dorophina
Wolves walijipanga vizuri kikosi kilikuwa kimetimia vby
Saupha mohamed
Safi sana