Uchambuzi Mechi Kati ya Manchester United vs Southampton.

Manchester United wakiwa nyumbani Old Trafford wameshinda mechi mbili tu kati ya mechi zao sita za mwisho za Ligi dhidi ya Southampton

Southampton wamepoteza mechi nyingi zaidi (26) na wameruhusu mabao mengi zaidi (82) dhidi ya Manchester United kuliko timu nyingine yoyote kwenye historia ya Ligi hiyo.

Manchester United wamepoteza mechi moja tu kati ya michezo yao ya mwisho 15 ya ligi wakiwa nyumbani (W9 D5), wakishinda mechi nne za mwisho mfululizo kwa jumla ya mabao (13-2).

Manchester United hawajapoteza katika mechi zao 17 za mwisho kwenye mashindano yote (W13, D4) – wamewahi kuwa na fomu hii bora zaidi mnamo Machi 2013 chini ya Sir Alex Ferguson (Mechi 18 bila kupoteza).

Manchester United wamepata penati 13 kwenye Ligi msimu huu; hakuna timu ambayo imewahi kupata idadi kubwa zaidi ya hiyo kwenye msimu mmoja katika mashindano haya – pia, Leicester msimu wa 2015-16 na Crystal Palace 2004-05 walipata penati 13.

Southampton wameshinda mechi moja tu kati ya michezo yao 23 ya ugenini katika Ligi dhidi ya ‘Big Six’ ( D5, L17), mara ya mwisho kushinda ilikuwa dhidi ya Chelsea 2-0 huko Stamford Bridge mnamo Disemba 2019.

Bruno Fernandes amehusika moja kwa moja katika magoli 13 katika mechi zake 10 za kwanza EPL, idadi kubwa katika historia ya Ligi hiyo baada ya Mick Quinn.

Mshambuliaji wa Southampton, Danny Ings amaefunga mabao 19 kwenye Ligi msimu huu na anaweza kuwa mchezaji wa pili wa Southampton kufikia mabao 20+ katika msimu mmoja baada ya James Beattie kufanya hivyo mnamo 2002-03 (23).

 


 

Odds za ubashiri wa mechi hii, hapa Meridianbet

Man U ashinde  = 1.26

Southampton ashinde = 9.50

Sare = 5.55

Zaidi ya goli 3+ = 1.5

 


Kuna ofa kibao  unazofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet Jiunge sasa kufurahia ofa zetu.

Bonyeza HAPA Kujiunga.

44 Komentara

    Southampton ashinde 9.50 odds ya kibabe kama hii naiyacha vp? huu ni mpira lolote linaweza kutokea uwanjani

    Jibu

    Hii mechi ya leo ni km fainali,mana man u wanaitaji nafac ya nne au ya 3.

    Jibu

    Axante kwa habar

    Jibu

    United kama kawa mbio top3

    Jibu

    Don’t miss

    Jibu

    Asante kwa habari

    Jibu

    Mtanange huu ulikuwa matata Sana wa vuta nikuvute ingawa walitoka sare ila ilikuwa balaa

    Jibu

    Unaweza kusema ni vita ya Wadachi kati ya Louis van Gaal dhidi ya Ronald Koeman katika mchezo utakaopigwa kwenye uwanja wa Old Trafford kati ya Manchester United dhidi ya Southampton, mchezo unaotarajiwa kuwa wa kusisimua kwani timu hizi mbili zimepishana kwa alama moja tu kwenye msimamo wa ligi.
    Manchester United wanaoshikilia nafasi ya tatu wakiwa na alama 37 kwenye msimamo wa ligi wanatarajiwa kuingia kwenye mchezo huo kutafuta alama tatu muhimu na kuzidi kuzikimbiza Manchester City na Chelsea kileleni.
    Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal kwenye mchezo huo atamkosa Ashley Young ambaye aliumia kwenye mchezo wa mwaka mpya dhidi ya Stoke City na hivyo anatarajiwa kuwa nje kwa muda wa wiki nne mpaka sita huku kipa mpya wa timu hiyo Victor Valdes akitarajiwa kuwepo kikosini.
    Wachezaji wengine wa United; Rafael, Luke Shaw, Marcos Rojo, Daley Blind, Maroune Fellaini na Antonio Valencia ambao walikuwa majeruhi kwasasa wanaendelea vizuri kuelekea mchezo huo dhidi ya Southampton.
    Kwenye mchezo huo takwimu zinaonyesha United hawajafungwa katika michezo 10 iliyopita ya ligi huku wakishinda michezo saba na kutoka sare michezo mitatu.
    Pia takwimu zinaonyesha mshambuliaji wa United Robin van Persie amefunga magoli saba katika mechi saba alizocheza dhidi ya Southampton kwenye ligi.
    Kikosi cha kocha Van Gaal kinaweza kuwa hivi: De Gea; Jones, Smalling, Evans; Shaw, Carrick, Rooney, Di Maria; Mata; Van Persie, Falcao.
    Kwa upande wa Ronald Koeman kocha wa Southampton, kwenye mchezo huo atawakosa Sadio Mane, Jay Rodriguez na Sam Gallagher ambao ni majeruhi pia mlinzi Maya Yoshida atakosekana baada ya kwenda kushiriki michuano ya kombe la Asia na timu ya taifa ya Japan.
    Pia kocha huyo ataweza kuwajumuisha kikosini Nathaniel Clyne na Jack Cork ambao walikuwa majeruhi huku Eljero Elia aliyesajiliwa kwa mkopo kutoka Werder Bremen pia akitarajiwa kuwepo kikosini kwa mara ya kwanza toka aliposajiliwa.
    Mpaka sasa Southampton wanashika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi wakiwa na alama 36.
    Kuelekea mchezo huo takwimu zinaonyesha Southampton wamefungwa michezo sita na kutoka sare michezo miwili kati ya michezo minane iliyopita waliyocheza dhidi ya Man United.
    Pia takwimu zinaonyesha kiungo wa Southampton James Ward-Prowse ametoa pasi tatu za magoli yaani “goal assist” katika michezo mitatu iliyopita ya ligi.
    Kikosi cha kocha Koeman kinaweza kuwa hivi: Forster; Alderweireld, Fonte, Clyne, Bertrand; Wanyama, Davis, Ward-Prowse; Tadic, Elia; Pelle hivyo mtanange utakuwa mkal sana

    Jibu

    Top 3 EPL hiyo kwa man utd#meridianbettz

    Jibu

    Mpira dk90 sasa apo itajulikana nani kijogoo

    Jibu

    Kwa uchambuzi ni sawa kwa timu zote lakini mpira dk90 ndo jibu linapatikana

    Jibu

    hii sio ya kukosa

    Jibu

    Siyakukosa

    Jibu

    Nakubali

    Jibu

    Man u leo kaz kaz

    Jibu

    Hii ni mechi ya peke yake maan man ulazima leo akaze ili afikie position anayohitaji kila la kher man u

    Jibu

    Ipo poa hii

    Jibu

    Hii cyakuikosa

    Jibu

    Muhim ni point3 top

    Jibu

    Ukiangalia historia unaweza kusema Man U wanamechi nyepesi Sana lakini balaa lake sio dogo

    Jibu

    Man United tupo imara tunataka point 3

    Jibu

    Hi yo mechi yakibabe odds ziko pouwaa

    Jibu

    Uchambuzi upo vizuri Sana na Mimi naongezee kuwa Man U lazima ashinde ili ajihakikishishie nafasi ya tatu ili washiliki UEFA msimu ujao

    Jibu

    Muhimu ni point 3 apo

    Jibu

    Mpira ulikuwa wakibabe mpaka waka toka sale

    Jibu

    Kazi ilikua ngumu maana sio powa

    Jibu

    Manchester walicheza kiwango kinachotakiwa sana

    Jibu

    Manchester united wanashikilia nafasi ya tatu wakiwa na alama 37 kwenye msimu huu wa ligi wanatarajiwa kuingia kwenye mchezo huo kutafuta alama tatu muhimu na kuzidi na kuzidi kuzikimbiza man chester city na Chelsea hii na habari nzuri kwa mashabiki wa man tuaona kabisa Manchester yetu ile ya zamani inarudi

    Jibu

    Muhim ni point3 top

    Jibu

    Huo mtanange ulikuwa wakukata nashoka

    Jibu

    nilitamani awa watoto wafunge hii mechi

    Jibu

    asanteni meridianbet kwa kutufanyia uchambuzi kwa mechi hii

    Jibu

    Ilikuwa bonge la gemu

    Jibu

    Ilikua mechi nzuri sana kwetu mashabiki

    Jibu

    Man united kapoteza dakika za mwishoni kabisa

    Jibu

    Man alizingua hii game dakika za mwisho

    Jibu

    Hapa kazi ipo

    Jibu

    Taarifa mzuri

    Jibu

    Wacha tuone

    Jibu

    Iko poa hii

    Jibu

    Hii mechi itakuwa ngumu kidogo man u wasifanye masihara kabisah inabidi wajipange

    Jibu

    Man u tupo fitiii

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.