Ericksen - Mtauona Ubora Wangu.

Christian Eriksen amesema kwamba hajaonesha kiwango chake tangu ajiunge na Inter lakini ameona maendeleo makubwa siku za usoni baada ya kuchangia goli  kwenye ushindi wa 2-1 Inter walipocheza dhidi ya Sampdoria.

Eriksen alikuwa katika ubora wa hali ya juu siku ya Jumapili, na alianza kwa kutoa asisti  na kufungua ubao wa mabao wakiwa katika uwanja wa nyumbani baada ya kurudi kwenye ligi ya Serie A.

Baada ya kufunga goli kwenye nusu fainali za Coppa Italia dhidi ya Napoli  wiki iliyopita, Eriksen alimtengenezea nafasi ya kufunga Lukaku katika dakika ya kumi na kuwafanya wawe mbele kabla Martinez kufunga goli la pili ilipofika dakika ya 33  walipo wakaribisha Sampdoria kwenye uwanja wa San Siro.

Mchezaji huyo wa zamani kutoka klabu ya Tottenham amekuwa akipambana kuonesha kiwango kizuri tangu aiache lugi ya EPL na kutua Inter mwezi Januari, amekuwa mzuri tangu ligi zirudi baada ya kusimama kwa muda.

Aliiambia Sky “sidhani kama mlikuwa mkimuona Eriksen wa ukweli, nitaendelea kuwa vizuri na nimatumaini yangu nitafunga zaidi na zaidi. Nimeanza kufanya vizuri tangu tukutane na Napoli ingawa hatukufanikiwa kusonga mbele haijalishi haikua bahati kwetu.

“Nimepata nafasi chache usiku wa leo nimejaribu kufunga sana na nategemea kufanya hivyo  siku za mbele.”

Eriksen,ambaye kwenye mchezo dhidi ya Sampdoria alipiga mashuti matano kwenye lango la Samdoria, aliongeza: “mambo yanaendelea kukaa vizur, nadhani yalikuwa maamuzi sahihi kuja hapa. Nilikaribishwa vizuri sana kwa pande zote kwa mashabiki na wachezaji wenzangu.

“Najivunia kuwa katika timu hii kiukweli Inter walinitaka. Ingawa tunacheza bila uwepo wa mashabiki uwanjani lakini mambo yanakwenda vizuri na kila mtu hapa.

“Kipindi cha kwanza kulikua na nafasi nyingi na nilinufaika na hizo nafasi kabla Samdoria hawajazifunga ilipofika kipindi cha pili.

56 Komentara

    Kikubwa ni kujiamini,Ericksen anajuhudi sana #Meridianbettz

    Jibu

    vizuri Eriksen tunasubiria kuuona ubora wako zaid

    Jibu

    Sawa sisi mashabiki tunaisubir kuuona

    Jibu

    Ni kiungo mshambuliaji mzuri na naamini atafanya vizuri zaidi Inter#meridianbettz

    Jibu

    Ni afadhali hata mwenyewe unajitia moyo

    Jibu

    Ericksen bado anauwezo wa kupambana

    Jibu

    Eriksen anajiamini sana#meridianbettz

    Jibu

    Mimi NikiwA kama shabiki nausubiria kuuona ubaora na maajabu yako

    Jibu

    Tottenham walifanya kosa kumwachia Ericksen kuondoka,bado mchango wake ulikuwa una umuhimu.

    Jibu

    Yuko vizuri huyo

    Jibu

    Safiii Sana ujakosea kikubwa kujipa moyo kujiamini Kama unaweza wahonyeshe kaz bwana mkubwa

    Jibu

    Ngoja tuvute subra ili kuona maajabu

    Jibu

    Subra huvuta heri ngoja tuone

    Jibu

    mapambano yale yale nakukubali sana

    Jibu

    Goja tusubiri tuone mashamsham

    Jibu

    Kujiamini ndojambo la msingi#meridianbettz

    Jibu

    Ericksen yuko vizuri sana

    Jibu

    Erikssein ni bonge la mchezaji anajua anachokifanya na anachosema anaweza kukitekeleza vizuri

    Jibu

    Wamvumilie tu atafanya mengi sana.

    Jibu

    naamini atafanya vizuri zaidi Inter#meridianbettz

    Jibu

    Mashabiki zako tunakusubiri kwa hamu

    Jibu

    Tunataka kuona vitendo uwanjani hatutaki maneno sie

    Jibu

    Subira yavuta heri

    Jibu

    Eriksen n mchezaj mzr sana sasa najiuliza kwa nn spurs walimuachia maana bado ni bora mnoo hata Madrid alikua kwenye rada yao man United pia mtu hatar kwenye faulo hyu tunamjua sana mashabiki wa man United hua akosei mkicheza na timu aliokuwepo yeye ukiona anaenda kupiga faulo yeye wewe hesab goli na kama umeweka pesa yako kwenye timu yao usiwe na shaka kama tatufa kahawa au soda unywe kabisa bila shaka

    Jibu

    Kweli kabisah hajaongopa na sisi tunasubiri ufundi wake uwanjani akipige vizuri ni kiungo mzuri Sana

    Jibu

    Tunasubiri tuone

    Jibu

    Jamaa anajua sanA! Msimu ujao entermilan mtafaidika naye sana#meridianbettz

    Jibu

    Kiwango allicho kionyesha ERIKSEN akiwa tottenham kilikuwa kikubwa sanaa na vilabu vikubwa viliitaji sahihi ya nyota huyo wa Denmark mimi naona akiwa sahihi kwenda inter millan angebaki Tottenham kwa sababu inter na Tottenham viwango vile vile tu

    Jibu

    Afanye arud Tottenham tuu

    Jibu

    Tunachohitaji ni utendaji kutoka kwa Christian sio majigambo

    Jibu

    Vitendo ni Bora kuliko maneno tunasubur kuyaona

    Jibu

    Makala nzuri ericksen uwezo wake unajulikana Yuko vizuri Nina Imani inter hawajafanana makosa kumnasa straker huyo

    Jibu

    Nice update 👍# meridianbet

    Jibu

    Ni mshambiaji mzuri atafanya vizuri zaidi

    Jibu

    Maoni:Christian Eriksen ni mchezaji mzuri sana alionyesha kipaji chake Tottenham ingawaje mwenyewe amegundua kutoonyesha umahiri wake toka aingie Inter bado anayo nafasi ya kuonyesha kipaji chake ndio mashabiki wake wanataka kuona kutoka kwake

    Jibu

    Ngoj tuone next season mpra michezo wa wazi

    Jibu

    Kujiamini ndio mwanzo wa ushindi

    Jibu

    Tunangoja kuona vitendo zaidiii

    Jibu

    Nilisikitika sana kuona Eriksen akiuzwa alipokuwa Spurs, Ufundi ambao huyu jamaa anao ndani ya uwanja haikuwa jambo zuri kwa Spurs kumuuza, Kweli ameshaanza onyesha moto ndani ya Inter, Nimeangalia goli ambalo lukaku alifungua dhidi ya Sampdoria zile One two zilivyopigwa adi lukaku akascore Balaaa, Mimi ni shabiki yake namba moja nadhani ata mwanangu nitamwambia nataka ucheze soka safi kama la Eriksen, Iniesta au Xavi.

    Jibu

    kwa walichotufanyiwa spurs kutunyima kutuuzia huyu ericksen hatu

    Jibu

    Namkubar san

    Jibu

    Anajua sana

    Jibu

    Sawa champ

    Jibu

    Aina ya wachezaji ninaowakubali duniani

    Jibu

    Huyu jamaa yupo vizuri

    Jibu

    Safii tunataman tuone

    Jibu

    Huyo jamaa yuko vizuri

    Jibu

    Usituangushe mashabiki

    Jibu

    Inter wampe mda tu ericksen atawafanyia makubwa zaidi ya haya

    Jibu

    Daaah hatari sana nimependa anavyo jiamini mana ukienda katika vita unatakiwa uwe kifua mbele maadui wakuogope

    Jibu

    Ericksen fundi wa mpira

    Jibu

    Hatutaki maneno, kazi tu

    Jibu

    Ahsante kwa makara

    Jibu

    Tusibuli tuone mambo mazuri ayataki haraka

    Jibu

    Yupo vizuri sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.