Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe amesema kuwa alishangaa kuona mchezo wa JKT Tanzania, David Molinga hayupo ndani ya kikosi cha kwanza kilichoanza.
Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, Juni 17, JKT Tanzania ililazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na kwenye mchezo huo David Molinga aliwekwa benchi.
Mwakyembe amesema:”Unajua timu za jeshi hazina mapumziko, wao kipindi cha Corona hakuna Corona lazima wawe fiti kwa kufanya mazoezi sasa nilishangaa nilipoona kikosi cha Yanga hakina Molinga.
“Niliwauliza wale ambao nilikuwa nao, jamani mbona Molinga hapa simuoni akianza ila baadaye kidogo nilimuona akiingia, wale ni wanajeshi lazima kikosi kitakachopambana nao kiwe na nguvu muda wote,” amesema.
Yanga wapo katika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania wakiwa na alama 56 nyuma ya Azam wenye alama 58 wakati Simba wakiwa kileleni wakiwa wamejikusanyia alama 75
David Pere
Huyu nae waziri wetu anatuchanga sanaa Kama vipi aruhisu tu , Timu nzima hata ikisajili wachezaji wa kigeni sawa tu
warda
Harrison Mwakyembe Anazingua#Meridianbettz
Antony Luseno
Kwan lazima aanze?! Kocha ndo anajua timu ipo vipi na ni mchezaji gani aanze nani wakuingia substitute!
Magdalena
Sasa uyu muheshimiwa nae anataka kutuchanganya sisi kwani ata mtu akiwepo lazima acheze??
Lydia Emmanuel Magoti
Kwani lazima anzee kocha ndio anajua kikosi chake kakipanga vipi kwaiyo huyo mwakembe anazingua
Edgar
Mmmh sielew
Elika
Kwani kuna tatizo..bench lazima awepo kama hajapangwa kucheza
Mwajuma
Inaelekea mwakyembe anamkubali sana molinga
felister
Mimi ninavyojua kocha ndo anayepanga nan acheze nan asicheze sasa yeye mh na mambo ayo wapi na wapi
Agness
Nijambo jema Kama wameingilia
Sadick
Duh ina maana Waziri Mwakyembe anamuona Molinga jembe? Kocha ni mwamuzi wa mwisho kuamua nani acheze na nani asicheze. Molinga hana kiwango chochote cha maana kubadili matokeo pale Yanga inapozidiwa#meridianbettz
Johnmary joel
Jamani tuwaachie wenyewe #meridianbettz
Rehema
Ina maana mwakyembe anamuona molinge ni kinara?
Dorophina
Sio kwamba yanga wanamtegemea sana molinga kila mtu anauwezo wa kucheza pati yyt
isha
Mwakiyembe anatuzingua bhuanaa
Khadija
Hapo ukiangalia mwakyembe anamuona molinge ni kinara#meridiaanbettz
Amani
Kocha ni mwamuzi wa mwisho kuamua nani acheze na nani asicheze. Molinga hana kiwango chochote cha maana kubadili matokeo pale Yanga inapozidiwa#meridianbettz
Furahav
Serikali tuliendi wachieni wanyewe.
Devotha
Kocha ndo anajua kwa nn hakuanza kucheza
Hidaya
Mambo ya ngoswe tumuachie ngoswe
Omary lukumbi
Wazir mwakyembe inaonekana ana mpenda sana molinga kumuamin mno kukosa kuanza ndio sabab ya yeye kuulizia kua yupo au hayupo mm nilijua labda hata kusafir na timu kumbe ameanzia sub kila kitu mchezaj yupi aanza nan asubir n maamuz ya kocha
Njiku
Waziri mwakyembe labda alibeti kuwa molinga ataanza kwenye game hiyo mimi sio kama kunakosa hapo maana haukuanza katika mchezo huo kwa sababu ya mfumo wa kocha ila baadae alicheza so hakuna ubaya hapo
Hamidu
Molinga tena! Asante kwa makala nzuri ya kusisimua #meridianbettz
Hidaya
Mambo ya ngoswe tumuachie ngoswe
Leonard
Molinga jembe
Shafii
Mtazamo wa waziri wa michezo sio mbaya ila tunabaki kusema mwalimu ndo kila kitu hatujajua alikua anamipango gani wa kumuweka bench
Gabriel
Molinga alizingua sana mechi dhidi ya jkt kiukwel mapaka waziri mwakyembe kuongelea Hilo swala ni Jambo ambalo sio zur
# meridianbet
Latifa juma mohamed
Naona mwakyembe jicho lake linamwangalia Sana molinga.
Sabrina
Maoni:Kocha ndio alie panga kikoss nani aanze nanani akae benchi labda muheshimiwa alizoea umuona molinga kikosi cha kwanza ndio maana alishangaa kuto kumuona!
Povel
Papa molinga a.k.a falcao mutu ya kucheka na nyavu suala hlo limefikah sehem husikah na Iman litapata majibu mazur thnks meridian bet kwa update
Samira
Molinga hana ubora wowote pale yanga wamuache kocha atoe maamuzi yake
Neema juma
Itakuwa waziri anampenda molinga ndomaana anaongea hivi
Ernest
Kuna wakati unaweza sema wanamuonea David Molinga lakini nimekuja kufahamu mapungufu mengi anayoyaonyesha Moringa ndani ya kikosi cha yanga, Umakini wake umekuwa ndio chanzo kikubwa cha kupigwa benchi mara kwa mara, Pia ni vizuri akafanyia kazi ya kutengeneza fitness yake ili aonyeshe makali yake zaidi.
mwakalosi
wazir yeye abaki na siasa tu
Amiri Kayera
Molinga galasa tu
Theckla
Mbona Mambo yanakuwa makubwa
Fatuma kasomo
Dah inamaana waziri mwakyembe kamuona molinga jembe? Molinga hana kiwango chochote cha maana
Hope mwaikuka
Bora hvyo tu
Ester mmakasa
Ukiona ivo ndo furaha yake akimuona anacheza anamfurahia ndo maana akaingilia kati.
Frank Patrick
Mahaba ya waziri sasa hayo
Mwanaidi
Duuh hii ni balaa
Asia Abdy
Ishakua tabu
Genia Sikaluzwe
Daaaah ishakua balaa
Caroline
Kocha ndo anapanga wachezaji
Evaluziga
Tumwachie wenyewe watamalizana
Zeiyana
Ni mtazamo wake ila kocha nae anapipango yake kwenye kikosi nani aanze
Salma
Duh!
Ester jackson
Ni mtazamo wake ila kocha anamaamuzi yake na katika vita unatakiwa upambane sio kukaa nyuma bila sababu maalumu
Theonestina
Duuuh noma sana
Angelina
Hiyo ni kazi ya kocha
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa
Tatu
Ni wajibu wao wizara ya michezo kuingilia kati jambo kama hili