Ederson ame mmwagia sifa kede kede Kocha Wa timu ya Mancherster City kwa kumfanya awe golikipa mzuri “anautizama mpira katika njia nyingine” alisema Ederson.

Mbrazili huyo tayari ametumia misimu mitatu kucheza chini ya Kocha huyo wa Kikatalunya, huku wakifanikiwa kubeba kombe la EPL mara mbili na mataji mengine yanayohusu mashindano ya ndani ya Uingereza.
Ederson mwenye umri wa miaka 26 anajulikana kwa umahili wake wa kuzuia mipira ya hatari, lakini alaifanya makosa kwenye mchezo wa dabi walipokutana na Man U na kufungwa goli mbili hapo mwezi machi.
Walakini, Ederson alisisitiza kujitoa muhanga ni matarajio yake, akiwa chini ya mwalimu Guardiola, ambaye alimsifia kuwa amemsaidia kukuza kipaji chake cha unyanda.
“Majukumu ya golikipa kwenye timu ya Pep ni kama 11 zaidi ya mchezaji uwanjani, kwa maana ya kuiunda timu na kuichezesha” aliiambia Sky Sports.
“Nadhani ni magumu sana, kuna majukumu makubwa huwezi kukubali kufanya makosa. Kama ukifanya makosa inawezekana timu pinzani kupata ushindi.”
“Pep ni kocha Mkubwa anayeona mpira kwa namna ya kipekee. Anaishi mpira, anapumua mpira, jinsi anavyo fikiria kwenye mpirani tofauti kabisa na makocha wengine.

“Amenisaidia sana kukuza kiwango changu kama golikipa, sio mimi pekeee bali hata kwa mchezaji mmoja mmoja kwenye timu”.
“Sifanyi mazoezi sana, inaweza kuwa mara mbili au tatu kwa wiki,” alisema. Ni ujuzi wa asili niliyo nao kupiga mipira mirefu, kwa hiyo sihitaji kufanya mazoezi mara kwa mara.


Furahav
Uko vizuri sasa.
Johnmary joel
Nikocha mzuri #meridianbettz
Devotha
Guardiola ni kocha mzuri sana na Ederson anaweza kuwa kipa bora zaidi kupitia yeye
Omary lukumbi
Pep n kocha mzr kweli na anajua kuchagua wachezaj bora na kuwa pika kua kama anavyotaka yeye toka atokako kuanzia Barcelona,bayern Munich mpk hapa man city ila huku uingereza kaona mambo yapo tofauti kidogo kwa maana hakuna timu ndogo unae mdharau ndio anae kufunga
Njiku
Guardiola ni kocha mzuri sana pia tunamjua kuwa ni mkali wa gonga akiwa na timu yeyeto ile itachezea npira na kushinda pia anakochi vizuri wachezaji wake licha yakukosea huwa hachukii wachezaji wake kama kipa wa city ederson kufanya kosa dhidi ya man u pia bado anaheshima na kocha huyo safii guardiola
Lydia Emmanuel Magoti
Ajakosea kumpa sifa zake nisahii kwa Guardiola nikocha anaejua yupo vizuri
Hidaya
Yupo vizuri
Ester jackson
Safii sana guardiola kwa kuwa koch wachezaji wako vizuri hivyo ndivyo inavyotakiwa kushirikiana vizuri katika timu yako na matokeo ndio kama hayoo wanakiona wewe ndio kocha mzuri ambae hujawaji kupewa lawama kwa wachezaji wala wewe kuwapa lawama wachezaji wako good ## meridianbettz
Rehema
Ni kocha mzuri
warda
Sana hata mie namkubali sana huyu jamaa#Meridianbettz
David Pere
Kwa maoni yake yeye ni kweli lakini kwa wengine so kweli
isha
Kocha anaejituma
felister
Guardiola amekuza vipaji vya wachezaji wengi
Magdalena
Kocha mwenye viwango vya ukocha
Issa
Pep yupo vizuri sana mchezaji akitulia lazima aimprove
Dorophina
Edarson yupo sahihi kabisa man City wana kocha mzuri na anaeisaidia timu
Hamidu
Pep ni mmoja makocha bora kwa sasa
Ni lAzima umpe sifa zake#meridianbettz
Sadick
Kwangu Guardiola ni Kocha bora duniani kwa sasa#meridianbettz
Gabriel
Katika makocha ambao wagumu kutoa sifa ya wachezaji guardiola n miongoni mpaka ukipata nafasi ya kusifiwa na kocha hiyu ujue ww n bonge la mchezaji na kwa upande mwingine tuona Enderson jinsi alivyoisaidia man cty kama goli lipa namba moja na mpka kusaidia kuingia EPL msimu uliopita na ukiangalia uwezo wake Kama mrinda goli tunafaham n golikipa mzur sana
Shafii
Hakuna asiye mfahamu pep guardiola kwa uwezo mkubwa na aina ya mpira anaofundisha unavutiwa na kila mmoja ulimwenguni kote namkubali Sana pep
Christopher
In kwel kabisa, ndio maana yeye ni moja ya makocha bora zaidi duniani
Latifa juma mohamed
Kocha safi
Sabrina
Maoni:Kwa kwel Guardiola ni kocha mzuri sana namkubali sana hana masiala katika kazi yake Guardiola jeshii sishangai kumwagiwa na Ederson
Povel
Ederson kipa mzuri sana
Samira
Guardiola ni kocha mzuri sana kwa sasa
Neema juma
Kocha katisha
Ernest
Guardiola amekuwa na mchango mkubwa sana katika kuwakuza viwango wachezaji mbalimbali na kuwafanya kuwa tishio katika ulimwengu wa soka, Namkubali sana Pep.
mwakalosi
hiyo ndio sifa ya pep kipa lazima ajue kuanzisha mpira
Amiri Kayera
Kwer pep coach mzur
Leonard
Pepe ni kocha mzuri
Mwajuma
Nikocha anayejua nini anafanya
Tahiya
Yuko sahihi pep Guardiola ni kocha bora miongoni wa makocha na amedhiirisha ilo kwa kila timu aliyoifundisha
Theckla
Namkubali Sana huyu kocha
Fatuma kasomo
Nikocha mzuri sana na anajua kuchagua wachezaji bora nakuwaweka vizur kama anavyotaka yeye
Hope mwaikuka
Yuko sahihi
Ester mmakasa
Kiukweli yuko vizuri sana kwenye soka.
Frank Patrick
Fundi wa modern football Pep
Latifa juma mohamed
Kocha mzur anatimiz wajibu wake
Genia Sikaluzwe
Nikocha mzuri sana anajuwa wajibuwake
Caroline
Guardiola mtu mbad
Mariam mtandama
Kocha mzur
Evaluziga
Ni kocha mzuri sana
Zeiyana
Guardiola ni kocha mzuri sana hanainua vipaji vya wachezaji wengi
Samiah
Ni kocha htr
Adelta
Yuko vizuri sana
Salma
Ni kocha bora
Neema hassan
Kocha mahiri sana
Amani
Guardiola ni Kocha bora duniani kwa sasa#meridianbettz
Theonestina
Ni kocha mzur Sana
Mwanahamisi
Kocha bora anayejituma
Elika
Safi sana
Saupha mohamed
Kocha mzuri
Khadija
Kocha mzuri#meridianbettz
Emmy cleopa
Kocha yuko vizuri sana
farida ahmadi
Namkubali Sana huyu kocha