Unamjua Cassius Marcellus Clay Jr (Muhammad Ali) Sehemu ya 1

Watu billion mbili duniani kote walikaa nyuma ya Luninga zao ule usiku wa saa 2:15 kushuhudia pambano kubwa la Masumbwi lililopewa jina la The Last Hurrah, ilikua ni usiku wa October 2, 1980 kwenye jimbo la matajiri Las Vegas, Marekani kwenye ukumbi wa Caesars Palace, naukumbuka sana usiku ule wa Kiangazi

Ulikua ni mpambano wa wababe wa dunia enzi zile, Larry Holmes “The Easton Assassin” dhidi ya Cassius Marcellus Clay Jr (Muhammad Ali) mtukutu wa Louisville Kentucky Marekani, nyuma ya Mpambano huo kuna Promoter mmoja maarufu sana Donald King ‘Don King’ ndie alitaka dunia ishuhudie tena mambo ya kutisha

Lakini miezi kabla ya pambano hilo watu wengi walikua na hofu juu ya afya ya Ali, Nevada Athletic Commission walimchukua Ali na kumpeleka Hospital. Pale Jimboni Minnesota (Mayo Clinic) kupitia vipimo chini ya Daktari Bingwa Frank Howard, aligundua Ali ana shida kwenye mguu wa kulia na misuli, lakini waliamua tu kumpa kibali kwakua hakuwa serious sana

Lakini hiki kitu kilimuumiza sana Ferdie Pacheco, Daktari wa Ali ambaye alijiengua kwenye kambi 1977 baada ya Maboss wa Ali kukataa ushauri wake wa kiafya, baada ya pambano lake dhidi ya Earnie Shavers

Daktari wake alipeleka vipimo kwa Angelo Dundee na Jabir Herbert lakini hawakumjibu Daktari huyo, alietoa taarifa kuwa Ali ni mgonjwa sana


Ikumbukwe kuelekea mapambano hilo Ali alishafanya mambo makubwa sana, lile pambano la October 30,1974 dhidi ya George Edward Foreman (The undefeated Heavyweight Champion) mzigo ulikua pale Kinshasa Congo, waliita Rhumble in the Jungle, balaa kwenye misitu mikubwa ya mto Congo, Ali aliibuka bingwa

Lakini aliendelea kujizolea umaarufu mkubwa na kuwa kipenzi cha watu weusi duniani, naikumbuka mikono yake pale Araneta Coliseum Jijini Manila Ufilipino, kwenye Thrilla in Manila akimsambaratisha Joe Frazier ‘The Smokin Joe’ 1975 ilikua zaidi ya mchezo, Ali the Ring dancer anatupa na kutulia, alivutia watu wengi sana duniani.

48 Komentara

    Bondia aliyejibebea ubingwa na umaharufu mwingi

    Jibu

    Safi Sana kwa ubigwa ulio pata

    Jibu

    Aaah inaonekana miaka hiyo ya nyuma kuna watu walikuwa na vipaji vya damu katika michezo sikujua hili asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Ni bondia makini sana na yupo vizuri sanaaa

    Jibu

    Watu na vipaji vyao. Bondia huyo ni balaaa tupu

    Jibu

    Mohamed Ally hakika alikuwa bondia mzur sana jina lake alitasahaulika

    Jibu

    Mohamed Ally alikuwa kinara tena Ni bondia mwenye kujiamin Na bado tunamkumbuka sana

    Jibu

    champion

    Jibu

    Mabondia wengi hero wao ni Ali

    Jibu

    Bondia mahiri sana#meridianbettz

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Lilikuwa ni mpambano wa wababe wa dunia enzi hizo

    Jibu

    Bondia aliyejibebea ushind mkubwa#meridianbettz

    Jibu

    hakika muhammed ally alikua bondia mahiri

    Jibu

    Hongera yake kwa ubingwa alioupata

    Jibu

    Bondia safi sana huyo..alijua kukitumia kipaji chake vizur

    Jibu

    Kwangu bado atabaki kua bondia bora dunian sina wa kumfananisha nae kwa kipindi hiki chote jina lake bado linaishi

    Jibu

    Mpiganaj pendwa alitisha sana enz zake

    Jibu

    Wababe hawa wa dunia walitamba sana siku iyo

    Jibu

    Duuh!ni miaka mingi sana imepita lakini historia imefufuwa yote hayo kwakweli lilikuwa pambano la kibabe enzi izo .

    Jibu

    The way i see he was greatest boxer ever

    Jibu

    Ulikua ni mpambano wa wababe wa dunia

    Jibu

    Alikuwa Bondia mzuri sana. Sifa zake ziliienea kote duniani#meridianbettz

    Jibu

    Hili Ni pambano zuri
    Mashabiki tutaweka history

    Jibu

    Ni bondia mzuri sana

    Jibu

    “The Last Hurrah” najaribu kuvuta picha kama ningekuwa nami nimekaa naangalia kwenye Luniga

    Jibu

    Nimzuri sanaa bondia huyu

    Jibu

    huyu ndiye bingwa ambaye rekodi yake haijavunjwa bado

    Jibu

    Huyu ni bondia mzuri sana

    Jibu

    Mohammed ally alikuwa bingwa wa mabingwa

    Jibu

    the legend of boxing

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Ni bondia mzuri katika mapambano

    Jibu

    Alikuwa bondia wamfano wakuigwa

    Jibu

    Muhammad ally nouma sana

    Jibu

    Bingwa wa kihistoria wa masumbwi uzito wa juu duniani inapaswa akumbukwe kwa kweli

    Jibu

    Namkubali bondia huyo ngumijiwe

    Jibu

    Duh noma sana

    Jibu

    Alikuwa zaidi ya simba.

    Jibu

    Ukiwa na meridianbet unayajua mengi sikuwahi kufikiri haya
    #meridianbettz

    Jibu

    Huyu Ndio mpiganaji hatari kwa upande wangu

    Jibu

    Pambano lilikuwa Kali Sana ili kwa kipindi iko

    Jibu

    Dah alikua moto wa kuotea mbali

    Jibu

    Mohammed Ali ndie boxer aliyepigana michezo ming na kushinda taji kibao mpk kuandikwa jina kwny historia ya watu maarufu dunian

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Asanteni meridianbet kwa kutujuza

    Jibu

    Safi sana kwa ubingwa alioupata

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.