Cancelo: Napenda Kuendelea Kubaki Barcelona
Makala iliyopita
Yamal Atamani Kucheza na Nico Williams Barca
Makala ijayo
Rabiot Hajui Hatma Yake Juventus
Beki huyo amekua akionesha kiwango bora ndani ya klabu ya Barcelona jambo ambalo pia limemfanya Rais wa klabu hiyo Joan Laporta kufikiria kumbakiza ndani ya timu hiyo, Huku pia amesikika mara kwa mara kua mipango yao ni kumbakiza beki huyo mwenye uwezo wa kucheza nafasi tofauti tofauti uwanjani.