Mbappe kama Ronaldo tu
Makala iliyopita
Manchester United Wanaweza Kupindua Meza kwa Yoro
Makala ijayo
CHAMA AISHITAKI SIMBA TFF
Staa huyo ametambulishwa leo katika dimba la Bernabeu ambapo mashabiki zaidi ya elfu 80 wamehudhuria katika utambulisho huo, Hii ikienda sambamba na Cristiano Ronaldo ambaye alitambulishwa pia kwa idadi hiyo kubwa ya mashabiki kuhudhuria uwanjani na wote hao wakiwa wanashikilia rekodi ya kuingiza mashabiki wengi kwenye utambulisho wao.
Baada ya utambulisho wa Mbappe kukamilika leo na kuonekana kufanana kwa kiasi kikubwa na ule wa Cristiano Ronaldo mwaka 2009 ambaye ni mchezaji pendwa wa staa huyo wa zamani wa PSG, Jambo kubwa lililobaki ni Mbappe kuweza kufanya makubwa ndani ya Real Madrid kama alivyofanya Ronaldo ili kuiweka historia inayofanana zaidi.