Mbappe Kutambulishwa Jumanne ijayo Bernabeu
Makala iliyopita
Simba Yampata Mbadala wa Kapombe, Kelvin Kijiri Mbavu ya Kulia
Makala ijayo
Sancho Kuhusika Dili la Chiesa
Staa huyo wa kimataifa wa Ufaransa anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka mitano wa kuitumikia klabu ya Real Madrid kwa maana atakua klabuni hapo mpaka mwaka 2029, Lakini pia mabingwa hao wa ulaya watakua na uwezo wa kuendelea kua nae zaidi kama watahitaji kumuongezea mkataba.
Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa anatarajiwa kuongoza safu ya ushambuliaji ya Real Madrid kuelekea msimu ujao akishirikiana na raia wa wawili wa kimataifa wa Brazil Vinicius Jr pamoja na Rodrygo Goes, Huku kitendawili kikiendelea kubaki kati yake na Vinicius Jr nani atacheza upande wa kushoto.