KLABU YA SIMBA imegusa kila eneo msimu huu isipokuwa mlinda mlango tu hii ni baada ya kukamilisha usajili wa beki, Kelvin Kijiri kutoka Singida Fountain Gate. Beti na Meridianbet kwa ushindi mkubwa na odds kubwa, Ligi zinakaribia kuanza, usije kupishana na gari la Mshahara.
Wanamsimbazi hao wamesafisha kikosi chao kilichoshindwa kutwaa mataji kwa misimu miwili mfululizo huku wakisajili damu changa kwa kugusa kila eneo.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimefunguka kuwa Kelvin Kijiri amesaini mkataba wa miaka miwili na muda wowote kuanzia sasa atatambulishwa.
Jisajili hapa kuwa wa kwanza kushinda Mamilioni ya Meridianbet kila siku.
“Ni kweli tumemsajili mchezaji huyo (Kelvin Kijiri) ambaye ataungana na mkongwe Shomari Kapombe pamoja na Israel Mwenda ambao tumewaongeza mikataba na David Kameta ‘Duchu’,” kilisema chanzo hicho.
Simba katika dirisha hili la usajili ambalo linaendelea, imesajili mshambuliaji Steven Mukwala ambaye ametoka Asante Kotoko ya Ghana, beki Valentin Nouma akitokea timu ya St. Eloi Lupopo ya DR Congo.
Beki ya kati wamemuongeza Chamou Karaboue na Abdulrazack Mohamed Hamza (23) akitokea klabu ya Supersport United ya Afrika Kusini.
Kwenye eneo la kiungo imemsajili Joshua Mutale, Augustine Okajepha, Debora Mavambo, Jean Charles Ahoua na Yusuf Kagoma hivyo ni wazi imejipanga kutengeneza timu bora kwenye maeneo yote ya uwanja.
Kasino ya Mtandaoni usipange kuacha kucheza, Meridianbet wameakuandalia Maokoto na bonasi za kasino kibao.
This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Strictly Necessary Cookies
Strictly Necessary Cookie should be enabled at all times so that we can save your preferences for cookie settings.
If you disable this cookie, we will not be able to save your preferences. This means that every time you visit this website you will need to enable or disable cookies again.