BAADA YA dili la Winga Mcongo Ellie Mpanzu kufeli majaribio yake na KRC Genk, kwa sasa amerejea Kishansa kuangalia mustakabali wa maisha yake….ukweli ni kwamba Mpanzu hataki Tena kucheza Vita Club,ingawa bado wanajaribu kumshawishi. Jisajili hapa kuwa wa kwanza kushinda Mamilioni ya Meridianbet kila siku.
Inaelezwa kuwa Klabu ya Simba wapo kwenye nafasi nzuri ya kuinasa saini ya Mpanzu kama wataamua kurudi tena, ni baada ya majaribio yao mawili kutofanikiwa kipindi cha dirisha kubwa la usajili.
Beti na Meridianbet kwa ushindi mkubwa na odds kubwa, Ligi zinakaribia kuanza, usije kupishana na gari la Mshahara.
Rais wa AS Vital Amadou Diaby analazimisha kumbakiza mchezaji huyo ambaye Uongozi wa klab hiyo, kabla ya kwenda Ubelgiji walikuwa wamemuahidi kumlipa mshahara mkubwa zaidi atakaolipwa na Simba, huku wakipanga kumpa Unahodha wa timu.
Kwa upande wa Simba bado wana nafasi ya kumpata mchezaji huyo kwani kwa upande wa Mpanzu anataka kutafuta changamoto mpya, na taarifa alishawaaga marafiki zake wa karibu, hivyo Simba wanapewa nafasi kubwa zaidi ya kuinasa saini ya winga huyo katika dirisha dogo la usajili mwezi wa kwanza.
Michezo ya Kasino na Sloti ni machimbo yanayotoa pesa kirahisi. Cheza kasino hapa.
This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Strictly Necessary Cookies
Strictly Necessary Cookie should be enabled at all times so that we can save your preferences for cookie settings.
If you disable this cookie, we will not be able to save your preferences. This means that every time you visit this website you will need to enable or disable cookies again.