Moratta Kubaki Atletico Madrid
Makala iliyopita
Ufaransa Inabebwa na Bahati
Makala ijayo
Chelsea Kutompiga Bei Jackson
Mshamabuliaji huyo inaelezwa amekataa ofa ya klabu moja kutoka nchini Saudia Arabia na kuendelea kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake jijini Madrid, Mchezaji huyo ameonekana ana furaha kuendelea kuwepo kwenye klabu ya Atletico na jiji la Madrid ambapo ndio mahala ambapo amezaliwa.