Nottingham Forest Yamtimua Sean Dyche

Klabu ya Nottingham Forest imemtimua aliyekuwa kocha wao Sean Dyche baada ya kuwa na matokeo mabaya kwenye ligi na hii ikiwa ni mechi ya 3 hajashinda.

Nottingham Forest Yamtimua Sean Dyche

Forest walikuwa nyumbani jana kumkaribisha Wolves ambao ni vibonde wa ligi huku uongozi ukitarajia ushindi kwenye mchi hii lakini mechi iliisha kwa wenyeji hao kupata suluhu.

Sean Dyche anakuwa ni kocha wa 3 msimu huu kufukuzwa klabuni hapo baada ya Nuno Santos na Ange Postecoglu ambao waliondolewa klabu hapo kutokana sababu mbalimbali.

Ikumbukwe kuwa Nottingham chini ya Nuno ilikuwa ni moja ya klabu tishio kweye ligi kwani waliweza kumaliza nafasi ya 7 ambayo iliwafanya washiriki michuano ya Europa Barani Ulaya.

Hivyo baada ya kumfukuza Dyche sasa wanajiandaa kusaka kocha mpya ambaye ataleta mabadiliko klabuni hapo ukizingatia kuwa wapo kwenye michuano ya Europa League.

Nottingham Forest Yamtimua Sean Dyche

Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.

Dyche ameduma klabu hapo miezi 4 pekee na ameiacha timu ikiwa nafasi ya 17 kwenye msimamo wa ligi wakiwa na pointi zao 27 kwenye mechi 26 ambazo wamecheza.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.