Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe, amesema kikosi hicho kitaingia na sura mpya ya kiuchezaji kitakapomenyana na JS Kabylie katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa Jumapili, Februari 15, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

Kamwe amesema kocha mkuu Pedro Goncalves ameandaa mbinu tofauti kwa ajili ya mchezo huo muhimu, akisisitiza kuwa mashabiki watashuhudia mabadiliko ya kimkakati ambayo hayajaonekana katika mechi zilizopita za michuano hiyo. “Wapo waliokuwa wakisema kocha wetu anacheza kwa tahadhari. Mechi ya Jumapili wataiona sura yake nyingine kabisa,” amesema Kamwe.
Bila kusahau meridianbet ndio wakali wa ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya 1000 na kila kitu ukitakacho. Bashiri kijanja hapa



