Chama Afungiwa Mechi 3 na Faini Juu

Kamati ya Uendeshaji na usimamizi wa ligi ya bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Mei 19 2023, ilipitia mwenendo na matukio mbalimbali ya ligi na kufanya maamuzi yafuatayo juu ya Chama.

 

Chama Afungiwa Mechi 3 na Faini Juu

Ligi kuu ya NBC mechi namba 222: Simba dhidi ya Ruvu Shooting,

Mchezaji wa klabu ya Simba Cloutus Chota Chama amefungiwa michezo mitatu na faini ya laki 500,000 kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa klabu ya Ruvu Shooting, Abal Kassim Suleiman.

Tukio hilo lilitokea wakati wachezaji hao wawili wakigombea mpira, jambo ambalo lilifanya mwamuzi wa mchezo huo ashindwe kuona tukio hilo kwa haraka zaidi.

Adhabu hiyo imetolewa kwa kanuni ya 41:5(5.2) ya ligi kuu kuhusu udhibiti kwa wachezaji.

Chama Afungiwa Mechi 3 na Faini Juu

Mchezo huo ulimalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 huku kwa upande w aRuvu wao ndio mchezo ambao uliwafanya waage mashindano.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.