Ligi kuu ya NBC Tanzania iliendelea hapo jana kwa mechi kadhaa ila mechi ambayo ilikuwa ikisubiriwa kw ahamu ni hii ya KMC dhidi ya Simba SC mchezo ambao ulipigwa majira ya saa 1:00 usiku.

Mchezo huo ulimalizika kwa Simba kupata mabao 2-0 katika kipindi cha kwanza cha mchezo baada ya Selemani Mwalimu na Libasse Gueye kupachika mabao hayo mazuri kabisa kabla ya mapumziko.
Libasse Gueye huu ni usajili mpya ambao Wekundu wa Msimbazi wameufanya hivi karibuni na kuonekana kuwa na mchezaji mzuri ambaye amekuja kuisaidia timu chini ya kocha mkuu Steve Berker.
KMC ilimaliza mchezo huo wakiwa pungufu baada ya beki wao, Castor Mwangabo kupewa kadi nyekundu na mwamuzi Ahmed Arajiga baada kucheza mchezo usio wa kiungwana.
Meridianbet inakwambia kuwa endelea kubashiri hapa kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa.


