IBENGE ANATAKA KUWA KOCHA WA KUKUMBUKWA AZAM FC
Daily News

Hesabu za Kocha Mkuu wa Azam FC raia wa DR Congo, Florent Ibenge ni kutengeneza hadithi tamu na ya kukumbukwa daima ndani ya timu hiyo kutoka mitaa ya Chamanzi. Ibenge …

Soma zaidi
ISHU YA KOCHA MPYA YANGA, MABOSI WAPATA KIGUGUMIZI
SOKA LA BONGO

Ukipiga simu kwenye uongozi wa klabu ya Yanga kuuliza nini mustakabali wao juu ya nani atakuwa kocha mkuu ajaye baada ya Roman Folz kuondoka, utachoambulia ni kuwa mchakato unaendelea na …

Soma zaidi
Yanga Vitani Leo Caf Champions League Nchini Malawi
Daily News

Wawakilishi wa Tanzania katika anga la Kimataifa Yanga, wanatarajia kutupa karata yao ya kwanza leo kwenye ardhi ya Malawi kusaka nafasi ya kwenda hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa …

Soma zaidi
Neo Maema & De De Reuck Wabebeshwa Mzigo Eswatin
Daily News

Klabu ya Simba ipo kwenye maandalizi ya mwisho kabla ya kutupa karata yao ya kwanza wakiwa ugenini dhidi ya Nsingizini Hotspurs ya Eswatin, huku nyota wawili raia wa Afrika Kusini, …

Soma zaidi
Tshabalala, Mzize Waongeza Mzuka Yanga
Daily News

Kuelekea mchezo wa CAF Champions League kati ya Yanga SC dhidi Silver Strikers FC unaotarajiwa kuchezwa jioni ya leo nchini Malawi, Yanga  wameendelea kuimarika zaidi baada ya wachezaji wake Clement …

Soma zaidi
Fountain Gate Kutambulisha Wachezaji Wake Kesho
Daily News

Klabu ya Fountain Gate kesho Jumapili, itafanya tamasha ndogo la kutambulisha wachezaji wake wapya watakaotumika msimu huu. Tamasha hilo lililopewa jina la Tanzanite Day, litafanyika kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, uliopo …

Soma zaidi
Ali Hassan Mwinyi Wafunguliwa Na TFF
Daily News

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza rasmi kufunguliwa kwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi uliopo Tabora, baada ya kukamilika kwa marekebisho yaliyokidhi vigezo vya kikanuni na sheria za …

Soma zaidi
Kaizer Chiefs Wawateua Ben Youssef na Kaze 
Daily News

Klabu ya Kaizer Chiefs FC imetangaza rasmi kuwapa majukumu ya ukocha wakuu Khalil Ben Youssef na Cedric Kaze, wakiongoza timu hiyo hadi mwisho wa msimu wa 2025/26. Uamuzi huu umefuatia …

Soma zaidi
Raya Asaini Mkataba Mpya na Arsenal Hadi 2028
News

Klabu ya soka ya Arsenal kutoka Uingereza imethibitisha kumpa mkataba ulioboreshwa rasmi mlinda mlango wao namba moja, David Raya, utakaodumu hadi mwezi Juni mwaka 2028. Hatua hii ni sehemu ya …

Soma zaidi
Eng. Hersi Said Aandika Historia Mpya Katika Soka la Dunia
Daily News

Rais wa Klabu ya Yanga SC na Mwenyekiti wa Chama cha Vilabu Afrika (ACA), Eng. Hersi Said, ameandika historia mpya baada ya kuteuliwa rasmi na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) …

Soma zaidi
1 2 3 4 5 2,176 2,177 2,178
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.