Fountain Gate FC Waja na Moto Mpya
Daily News

Baada ya kukamilisha usajili wa mastaa wapya kwa mafanikio makubwa, klabu ya Fountain Gate FC iko tayari kuonyesha makali mapya msimu huu. Oktoba 12, mashabiki watafurika uwanja wa Tanzanite Kwaraa, …

Soma zaidi
Roman Folz Arudi Na Mizuka Yanga
Daily News

Romain Folz, Kocha Mkuu wa Yanga SC amekiongoza kikosi hicho kwenye mazoezi ikiwa ni maandalizi kuelekea mchezo ujao wa kimataifa, Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga SC imetoka kucheza mchezo wa …

Soma zaidi
Jeanine Afungiwa Na Tff Kisa  Sintofahamu Ya Jinsia
Daily News

Baada ya taarifa kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwamba limemsimamisha kwa muda mchezaji wa klabu ya Yanga Queens, Princess Jeanine Mukandiyisenga, raia wa Rwanda, kupisha uchunguzi wa kina kuhusu …

Soma zaidi
Simba Wanautaka Ubingwa Kwa Kila Namna
News

Simba SC imeendelea kuonyesha makali yake katika Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/26 kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Namungo FC, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Oktoba 1, …

Soma zaidi
Folz Bado Yupo Yupo Sana Jangwani
Daily News

Licha ya tetesi zinazozagaa mitandaoni na kwenye vijiwe vya soka kuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC, Roman Folz, huenda akatupiwa virago, taarifa za ndani kutoka kwa mabosi wa klabu hiyo …

Soma zaidi
Arsenal Waandamwa Na Pepo La Majeraha
News

Pamoja na Arsenal kupata ushindi wa pili mfululizo katika Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuichapa Olympiacos 2-0 katika dimba la Emirates, lakini furaha ya ushindi huo iligubikwa na hofu ya …

Soma zaidi
Koné Akaribishwa Aston Villa Kutoka ASEC Mimosas
Daily News

Aston Villa imetangaza rasmi kumsajili kiungo chipukizi mwenye kipaji cha hali ya juu, Mohamed Koné, kutoka klabu maarufu ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast, kitovu cha vipaji ambacho kimewahi kuzalisha …

Soma zaidi
La Liga Yaguswa Na Matusi, Vurugu Za Mashabiki Viwanjani
Daily News

Katika taarifa iliyotolewa na Marca, La Liga ilithibitisha kuwa mashabiki wa Atletico Madrid na Real Madrid walijihusisha na tabia isiyofaa. Mashabiki wa Atlético waliripotiwa kuwatukana mara kwa mara wachezaji wa …

Soma zaidi
PSG Na Bao la Dakika ya Mwisho kutoka kwa Ramos
Daily News

Katika usiku wa kihistoria kwenye Uwanja wa Olimpiki jijini Barcelona, mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), walifanya maajabu kwa kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya …

Soma zaidi
Amorim Njia Panda Man United, Southgate Kuwa Mrithi
Daily News

Kocha wa Manchester United, Ruben Amorim, anakabiliwa na presha kubwa baada ya kikosi chake kushuka hadi nafasi ya 14 kwenye msimamo wa Premier League kufuatia kipigo cha 3-1 dhidi ya …

Soma zaidi
1 2 3 4 5 6 2,176 2,177 2,178
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.