Hesabu za Kocha Mkuu wa Azam FC raia wa DR Congo, Florent Ibenge ni kutengeneza hadithi tamu na ya kukumbukwa daima ndani ya timu hiyo kutoka mitaa ya Chamanzi. Ibenge …
Makala nyingine
Ukipiga simu kwenye uongozi wa klabu ya Yanga kuuliza nini mustakabali wao juu ya nani atakuwa kocha mkuu ajaye baada ya Roman Folz kuondoka, utachoambulia ni kuwa mchakato unaendelea na …
Rais wa Klabu ya Yanga SC na Mwenyekiti wa Chama cha Vilabu Afrika (ACA), Eng. Hersi Said, ameandika historia mpya baada ya kuteuliwa rasmi na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) …
Romain Folz, Kocha Mkuu wa Yanga SC amekiongoza kikosi hicho kwenye mazoezi ikiwa ni maandalizi kuelekea mchezo ujao wa kimataifa, Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga SC imetoka kucheza mchezo wa …
Baada ya taarifa kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwamba limemsimamisha kwa muda mchezaji wa klabu ya Yanga Queens, Princess Jeanine Mukandiyisenga, raia wa Rwanda, kupisha uchunguzi wa kina kuhusu …
Simba SC imeendelea kuonyesha makali yake katika Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/26 kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Namungo FC, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Oktoba 1, …
Licha ya tetesi zinazozagaa mitandaoni na kwenye vijiwe vya soka kuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC, Roman Folz, huenda akatupiwa virago, taarifa za ndani kutoka kwa mabosi wa klabu hiyo …
Wawakilishi wa Tanzania kwenye anga la kimataifa kwenye michuano ya Caf Champions League, Yanga SC, katika mchezo wa marudiano wa hatua ya awali wanakibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Wiliete …
Seleman Matola kocha msaidizi wa Simba SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara ya NBC dhidi ya Fountain Gate unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa jioni ya …
Klabu ya Tabora United, iliyokuwa ikiwakilisha mkoa wa Tabora katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, sasa imeingia katika sura mpya baada ya kununuliwa rasmi na Mamlaka ya Mapato Tanzania …
Rasmi sasa Mabingwa wa soka la wanawake Tanzania, JKT Queens, wameandika historia nyingine kubwa ya kuvutia baada ya kutwaa taji la Mashindano ya CECAFA Women’s Championship 2025. Mabingwa hawa wa …
Klabu ya Yanga SC chini ya Kocha wake Mkuu, Romain Folz imetwaa taji la Ngao ya Jamii kwa ushindi mbele ya watani zao wa jadi Simba SC katika mchezo uliochezwa …
Kiungo mpya wa Klabu ya Singida Black Stars, Clatous Chama ameipa ubingwa wa kwanza timu hiyo baada ya kufunga mabao mawili katika mchezo wa fainali Kagame Cup 2025 dhidi ya …
Mashabiki wa soka nchini wapo kwenye hekaheka za kusubiri pambano kubwa zaidi la mpira wa miguu kwa ngazi ya klabu, Dabi ya Kariakoo, ambapo vigogo wa Tanzania Bara, Yanga SC …
Ikiwa ni siku iliyosheheni shamrashamra na hisia za mashabiki wa soka, Simba SC imetangaza rasmi kikosi chake cha msimu wa 2025/2026 kupitia tamasha la Simba Day lililofanyika kwenye Uwanja wa …
Klabu ya Yanga SC imeandika historia mpya katika safari yake ya ukuaji baada ya kufanikisha Mkutano Mkuu wa Wanachama (AGM) wa mwaka 2025, ambapo maamuzi na mipango mikubwa yamepitishwa kwa …
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, ametoa onyo kali kwa waamuzi wote watakaoshiriki katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu ujao, akieleza wazi kwamba hakuna utaratibu wa …

