Liverpool hawako tayari kumuuza Federico Chiesa hadi pale Alexander Isak atakapowasili kutoka Newcastle United, kwa mujibu wa ripoti, hali inayowaacha Inter Milan na Napoli wakisubiri.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Italia alionekana kuwa njiani kuondoka zikiwa zimepita mwaka mmoja tu tangu ajiunge na Anfield akitokea Juventus, huku mkataba wake wa awali ukiwa unakaribia kwisha.
Hata hivyo, katika msimu wake wa kwanza, Chiesa hakucheza sana kutokana na majeraha au kiwango duni, ingawa aliweza kufunga mabao mawili na kutoa pasi mbili za mabao katika mechi 14 za mashindano rasmi.
Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.
Alipoachwa nje ya kikosi cha Liverpool kilichosafiri kwa ajili ya mechi za kirafiki za maandalizi ya msimu, wengi walidhani atatolewa kwa mkopo au kuuzwa.


