Klabu ya Simba SC ambayo inaongozwa na kocha mkuu Robertinho wanatajia kushuka dimbani hii leo kucheza mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam dhidi ya Ihefu kutoka Mbeya.

Simba mpaka sasa inashikilia nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu ya NBC akiwa na pointi zake 57 baada ya kucheza mechi zake 24, ushindi mara 17, sare 6, na kupoteza mara 1 pekee.
Wakati kwa upande wa Ihefu yeye kwenye msimamo wa ligi yupo nafasi ya 6 akiwa na pointi zake 33 baada ya kuhsindamechi zake 25, ushindi mara 10, sare 3 na kupoteza mara 12.

Mechi ya mwisho kukutana Simba liondoka na ushindi akiw akwa Mkapa. Na leo yupo kwa Mkapa je anaweza kuendeleza ubabe aua Ihefu anaweza kumzuia? Bashiri na Meridianbet mechi kibao.

