Yanga Kukabidhiwa Kombe Leo Hii Baaada ya Mchezo Dhidi ya Mbeya City
Klabu ya Yanga wanatarajiwa kukabidhiwa Kombe lao la Ligi Kuu ya Tanzania Bara hii leo kwenye mchezo wao dhidi ya Mbeya City huko Mbeya. Yanga wametwaa taji hilo kwa …
Roma Yawaomba Spezia Wamsajili Nzola Baada ya Abraham Kuumia
Baada ya Tammy Abraham kuumia vibaya goti, Roma wameripotiwa kukutana na Spezia kumuulizia M’Bala Nzola. Ilikuwa ni wakati wa mechi ya Serie A kati ya vilabu hivyo viwili ambapo …
Leao Ashangzwa na Milan Kuripotiwa Kumfukuza Maldini
Rafael Leao alionekana kuthibitisha ripoti kwamba kikosi cha Milan kimeshtushwa na kughadhabika kwamba klabu hiyo inaonekana imewatimua Paolo Maldini na Daniel Massara. Mkutano wa asubuhi ya leo kati ya …
Maldini Anaondoka Milan
Paolo Maldini na Ricky Massara wanaondoka Milan kutokana na mvutano na mitazamo tofauti na mmiliki Gerry Cardinale. Mkutano wa jana jioni kati ya Maldini, Massara na Cardinale ulikuwa na …
Wamiliki wa Newcastle Wanamiliki Hisa Nyingi Katika Vilabu 4 Saudi
Mfuko wa utajiri wa watawala wa Saudi ambao unamiliki Newcastle umechukua hisa nyingi katika vilabu vinne vikubwa vya nchi hiyo ya Mashariki ya Kati, pamoja na timu ya Cristiano Ronaldo …
Inzaghi Aiita City Timu Yenye Nguvu Zaidi Duniani
Simone Inzaghi ataituma Inter Milan katika vita vya Ligi ya Mabingwa na timu imara zaidi duniani. Inter itamenyana na washindi wa Uingereza Manchester City mjini Istanbul, huku vijana wa …
De Bruyne Hasemi City Wanapewa Nafasi Kubwa Kuifunga Inter
Kevin De Bruyne haamini kuwa Manchester City wanapewa nafasi kubwa ya kuifunga Inter Milan kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na kupata ushindi wanaohitaji kukamilisha mataji matatu. City …
Halsey: “VAR Ilikosea Kuingilia Kati Mpira wa Mkono Alioshika Grealish”
Halsey anasema kuwa, VAR ilikosea kuingilia kati kisa kilichosababisha Jack Grealish kuadhibiwa kwa mpira wa mkono kwenye fainali ya Kombe la FA dhidi ya United. Hayo ni maoni ya …
Soyuncu na Amartey ni Miongoni mwa Wachezaji Saba Wanaoondoka Leicester
Leicester wamethibitisha kuwa wachezaji saba wataondoka katika klabu hiyo mwishoni mwa kandarasi zao mwezi Juni, wakiwemo Caglar Soyuncu na Daniel Amartey. Tangazo hilo linakuja kufuatia kushushwa daraja kwa Foxes …
Hesabu za Nabi Zimekaa Hivi
Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa wachezaji wake wana kazi kwenye mechi mbili zilizobaki kupata matokeo mazuri. Yanga imetwaa ubingwa ikiwa na pointi 74 baada ya kucheza …

