Klabu ya Yanga wanatarajiwa kukabidhiwa Kombe lao la Ligi Kuu ya Tanzania Bara hii leo kwenye mchezo wao dhidi ya Mbeya City huko Mbeya.

Yanga wametwaa taji hilo kwa mara ya pili mfululizo huku zikiwa zimesalia mechi mbili ambapo mechi ya kwanza kati ya hizo mbili ni pamoja na hii ya leo watakamenyana dhidi ya Mbeya City.
Mbeya City kwenye mchezo huu wa leo anahitaji ushindi sana ili ajiweke kwenye nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi na wasicheze Play Off kwani mechi hizo lolote huweza kutokea.

Tofauti kati ya pointi kwa timu hizi mbili ni 44 huku mechi ya kwanza kukutana, Wanakoma Kumwanya walipoteza kwa mabao 2-0. Je hii leo Mbeya City wanaweza kulipa kisasi?
Je vijana wa Nabi watakubali kupoteza mchezo siku maalumu kama ya leo? Bashiri mechi hii ikiwa na ODDS KUBWA sana pale Meridianbet.

