Rafa Benitez Amethibitisha Kuwa Gabri Veiga Amekaribia Kujiunga Napoli

Bosi wa Celta Vigo Rafa Benitez amethibitisha kuwa Gabri Veiga yuko karibu kujiunga na Napoli na lazima wawe wakweli.

 

Rafa Benitez Amethibitisha Kuwa Gabri Veiga Amekaribia Kujiunga Napoli

Mabingwa hao wa Serie A wako mbioni kumsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 kwa €36m, ikijumuisha nyongeza. Veiga alikuwa mchezaji wa akiba ambaye hajatumika katika sare ya 1-1 ya Celta dhidi ya Real Sociedad hapo jana usiku.

Odds kubwa kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti ni vitu vinavyoweza kubadilisha maisha yako kwa kukupatia pesa nyingi. Ingia mchezoni hapa.

Benitez amesema, “Tunakaribia kukamilisha makubaliano, lazima tuwe wakweli na tuseme kwamba makubaliano yako karibu. Tulizungumza kabla ya mechi, na kumpeleka leo ingekuwa hatari. Kwa bahati nzuri, wachezaji wenzake walifanya vizuri na hawakuhitaji kuhusika.”

Rafa Benitez Amethibitisha Kuwa Gabri Veiga Amekaribia Kujiunga Napoli

Aviator, poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Piggy Party na mingine kibao upige pesa na Meridianbet. Ingia www. meridianbet.co.tz.

Napoli walianza kampeni mpya ya Serie A kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya Frosinone jana.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.