Fellaini Kusalia Manchester United
Mchezaji Marouane Feallain ambaye ni kiungo wa klabu ya soka ya Manchester United ameongeza mkataba wake kwa muda wa miaka miwili ili kuendelea kucheza klabuni hapo. Hapo mwanzo ilielezwa kuwa …
Real Madrid Kuishinda Chelsea?
Klabu ya soka ya Chelsea inakaribia kuikimbiza kabisa Real Madrid kwenye hekaheka za kumsajili mchezaji nyanda wa Roma, Alisson! Hii ni katika mkataba unaomthamini mchezaji huyo wa Brazil mwenye umri …
Iran Atachomoka kwa Ureno Leo?
Uwanjani leo kuna jumla ya mechi nne kwenye Kombe la Dunia na kocha Carlos Queiroz atakuwa akikiongoza kikosi chake katika kusaka taji hilo na mechi yao leo ni dhidi ya …
Usajili: Real Madrid Yamnasa wa Ukraine, De Gea Hana Chake!
Real Madrid imesaini mkataba wa muda wa miaka 6 na mchezaji kinda Andriry Lunin. Huyu anatokea Ukraine kwa klabu ya Zorya Luhansk. Kwa sasa kinda huyo ana umri wa miaka …
Modric Ataiokoa Croatia Mbele ya Messi?
Leo ndiyo leo dimbani! Ivan Rakitic, Luka Modric na Ivan Perisic ni viungo bora kwenye michuano ila walishindwa kabisa kufanya kitu kwenye hatua ya makundi kwenye mara tatu za mwisho …
Eriksen Anaibeba Denmark Leo
Hii inakuja ikiwa ni baada ya wao kukosa kupenya mwaka 2014 ambapo sasa timu ya taifa ya Denmark inakwaana na mataifa kadhaa kuhakikisha wanafanikiwa kwenye Kombe la Dunia. Mchezaji Eriksen …
Kombe la Dunia: Falcao Kuiwezesha Colombia?
Alasiri ya leo dimbani kocha wa Colombia, Jose Pekerman pamoja na mchezaji wake staa Radamel Falcao watakuwa dimbani kuumana na Japan kwenye gemu za ufunguzi wa Kundi H la michuano …
Tunisia Wataitetemesha Uingereza?
Nabil Maaloul ambaye ni kocha wa taifa la Tunisia anakiongoza kikosi chake kuwinda taji la Kombe la Dunia leo hii! Ikiwa ni mara baada ya wao kuonekana kwenye fainali 3 …
Gotze Kutia Maguu Arsenal?
The Mirror wanaripoti kuwa klabu ya Washika Mitutu wa Arsenal wanalo lengo la kumfanyia usajili mchezaji nafasi ya kiungo wa kati wa Borussia Dortmund, Mario Gotze wa Ujerumani. Kiungo huyu …
Tabarez Ataiongoza Vyema Uruguay?
Kocha mkuu wa taifa la Uruguay, Oscar Tabarez anakiongoza kikosi chake leo ikiwa ni baada ya kampeni ya mwisho ya Uruguay kwenye Kombe la Dunia iliyoshuhudiwa Suarez akimng’ata Giorgio Chiellini! …

