Real Madrid Kuishinda Chelsea?

Klabu ya soka ya Chelsea inakaribia kuikimbiza kabisa Real Madrid kwenye hekaheka za kumsajili mchezaji nyanda wa Roma, Alisson!

Hii ni katika mkataba unaomthamini mchezaji huyo wa Brazil mwenye umri wa miaka 25 kuwa na thamani ya paundi milioni 62. Watamudu hilo kuwashinda wenzao wa Hispania? Muda utatujibu.

4 Komentara

    Hii habari iko poa.

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Safi the blues

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.