Dodoma Jiji Yashindwa Kufurukuta Mbele ya Azam FC

Klabu ya Dodoma Jiji imechakazwa jana kwa mabao 4-1 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wao wa Kombe la Shirikisho la Azam katika Dimba la Chamazi.

 

Dodoma Jiji Yashindwa Kufurukuta Mbele ya Azam FC

Mchezo huo ulishudiwa kwa mabao mengi toka timu hizo kukutana huku Dodoma wakitoka kupoteza mchezo wao uliopita wa Ligi, halikadhalika kwa vijana wa Kally Ongala nao wametoka kupoteza mchezo wao.

Walima zabibu baada ya kuwa wametanguliwa mabao mawili kwa moja kwenye kipindi cha kwanza, walipata penalti lakini mchezaji ambaye wamemsajili Stephen Sey akapaisha mkwaju huo.m

Dodoma Jiji Yashindwa Kufurukuta Mbele ya Azam FC

Hivyo mpaka sasa vijana Chamazi wao ni wababe wanapokutana na Walima Zabibu kwani mechi sita walizokutana wameshinda tano na kutoa sare mchezo mmoja kati yao hadi sasa.

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.