BOKA ATEMA NYONGO JANGWANI

Chadrack Boka, beki wa Yanga ameweka wazi kuwa ushindani ndani ya ligi ni mgumu jambo ambalo linawafanya wawe makini kila wanaposhuka uwanjani kusaka pointi tatu.

BOKA ATEMA NYONGO JANGWANI

Beki huyo ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miloud Hamdi ndani ya kikosi cha Yanga msimu wa 2024/25, kituo kinachofuata kwa vinara hao wa ligi ni dhidi ya Azam FC, Aprili 10 2025, Uwanja wa Azam Complex.

Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.

“Ligi ni ngumu na kuna ushindani mkubwa hilo linatupa nguvu sisi wachezaji kupambana kila mchezo bila kuchoka malengo ikiwa ni kupata pointi tatu muhimu kwenye mechi ambazo tunacheza.”

BOKA ATEMA NYONGO JANGWANI

Boka kacheza jumla ya mechi 20 akikomba dakika 1,394 ni bao moja kafunga ilikuwa kwa pigo huru akitumia mguu wa kulia dhidi ya Pamba mchezo uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Februari 28 2025 dakika ya 28.

Katoa pasi mbili za mabao akihusika kwenye mabao matatu kati ya 62 yaliyofungwa na Yanga yenye pointi 64 ikiwa nafasi ya kwanza kwenye msimamo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.