Kiungo wa zamani wa Juventus, Paul Pogba, amerudi tena dimbani leo akiichezea AS Monaco, ikiwa ni siku 811 tangu alipocheza mechi yake ya mwisho.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 aliingia kama mchezaji wa akiba katika dakika ya 85 kwenye kipigo cha Monaco cha 4-1 dhidi ya Stade Rennes kwenye Ligue 1, akichukua nafasi ya Mamadou Coulibaly.
Ilikuwa ni hatima yenye hisia kali kwa kiungo huyo wa Ufaransa ambaye alikuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya miaka miwili.
Leo hii unaweza kutusua mkwanja mrefu endapo utacheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni kama vile Aviator, Poker, Roullette, Keno, Super Heli na mingine kibao. Ingia Meridianbet sasa na ucheze hapa.
Akiwa Juventus, Pogba alicheza jumla ya mechi mbili pekee msimu wa 2023-24—zote kama mchezaji wa akiba—katika sare ya 1-1 dhidi ya Bologna mnamo Agosti 27 na ushindi wa 2-0 dhidi ya Empoli mnamo Septemba 3, 2023.


