Wakati huu ambapo dirisha la usajili likiendelea kutumika vyema kwa vilabu mbalimbali duniani. Tuangazie kidogo kikosi cha Man United chini ya Ole Gunnar Solskjaer.
Tangu kuanza kwa harakati za uhamisho wa wachezaji, Man United wamekuwa wakihusishwa na wachezaji mbalimbali. Sancho akiwa ameteka taarifa za kujiunga na timu hiyo, jambo ambalo mpaka sasa halieleweki.
Kunani Man United kwenye dirisha hili la Usajili?
Taarifa zinasema Donny Van De Beek ameshamaliza vipimo vya afya na huenda Man United wakatoa taarifa rasmi ya kumsajili kiungo huyu kutoka Ajax kwa ada ya pauni milioni 40.
Kutua kwa Van De Beek kutakuwa ni panga la moto kwa Lingard na Pereira kwani wanaendelea kuwa wachezaji wasio na namba kwenye kikosi cha Ole Gunnar Solskjaer.
Ujio wa Mholanzi huyo utaongeza nguvu kwenye safu ya kiungo ambapo tayari kuna wachezaji kama Juan Mata, Nemanja Matic, Scot McTominay, Fred, Bruno Fernandes na Paul Pogba. Kwa uwezo wa wachezaji hawa, ni dhahiri Lingard na Pereira hawana namba.
Kwa msimu uliopita, Lingard na Pereira wamecheza mechi chache sana kutokana na kutopata namba kwenye kikosi hicho, mara nyingi wamekuwa wakisugua benchi katika mechi za michuano yote. Huenda dirisha hili la usajili likawa ndio sehemu yao ya kuponea na sasa wanauwezekano mkubwa wa kuwekwa sokoni na Man United.
Ama kweli hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho. Lingard alijunga na Man United akiwa na miaka 7 wakati Pereira alijiunga akiwa na miaka 15, sasa hivi wote wapo katika hali ya sintofahamu katika kikosi cha Ole Gunnar Solskjaer.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


felister
kwa inavyooneka man hawana mpango tena na hao wachezaji
Zeiyana
Man u bado kabic kwenye usajiri wanatakiwa wajipange sana ili kukamilisha kikosi chao
Caroline
Asanteni kwa taarifa
Elika
Dah kwa hili man mtulie kidogo
magdalena
wawaache tu waendelee kusalia united
aisha
Man u wanatakiwa wafanye kazi ya ziada ili kukamilisha kikosi chao zaidi
Tatu
Lingard na pereira watafute sehemu ya kwenda kwa man u awana chao
Aziza mushi
Asanteni kwa taarifa meridianbet.
Sauda
Wabaki Man U
Ernest
Lingard ndo kwisa habari yake Uingereza sasa atamfuata Oscar China hukoo
Sadick
Kwangu Jesse Lingarda aondoke lakini Perreira apewe muda zaidi kwasabu msimu uliopita hakucheza vya kutosha#meridianbettz
Venerose
Asante kwa taarifa
Dorophina
Lingard mda wake sasa kuondoka man u
Antony Luseno
United kwenye swala la usajili wanaleta siasa
David Pere
Kwa msimu uliopita, Lingard na Pereira wamecheza mechi chache sana kutokana na kutopata namba kwenye kikosi hicho, mara nyingi wamekuwa wakisugua benchi katika mechi za michuano yote. Huenda dirisha hili la usajili likawa ndio sehemu yao ya kuponea na sasa wanauwezekano mkubwa wa kuwekwa sokoni na Man United.
Lydia Emmanuel Magoti
Man U mnakwama wapi tena mbona mnayumba kwauyo dogo
Povel
Lingard na perreira sasa ya tosha watafute timu ya kucheza tu
Agness
Asante kwa makala meridian
Neema
Habarii nimeielewa
Salma ngende
Wabaki man tu
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif
Faraja molell
Ni vyema wakatfute timu ya kucheza
Khadija
wabaki man tu
rama
mashabiki wa man united hatuelewi usajili wa sancho
Furahav
Duuh noma sana.
Rehema
Aisee hii ni hatari
Hidaya
Kama hawafai watoke tu
Nasra
Lingad alikuja moto Sana Ila sasa anaonekana hafai.
Shani
Watafute machaka mengine
Hope mwaikuka
Cjaelewa vzur hii
Sabrina
Man u hawana jipya bhana
Amiri Kayera
Man u inaitaji watu wazoef km hawa so kina lingard
jullie
good news
Issa
Ni lingard ni mchezaj makin sana ila majeruh yanamkosti
Fatuma kasomo
Habari njema
Rose kapinga
Mambo ya soka hayoo!!!
Saupha mohamed
Habari njema
Shafii
Lingard kwa man u Hana namba.
Adelta
Mashabiki tunashukuru kwa taarifa
@meridianbettz
Latifa juma mohamed
Ahsante kwa makala na meridian.
Genia Sikaluzwe
Habari nzuri
Gabriel
kikosi hicho, mara nyingi wamekuwa wakisugua benchi katika mechi za michuano yote. Huenda dirisha hili la usajili likawa ndio sehemu yao ya kuponea na sasa wanauwezekano mkubwa wa kuwekwa sokoni na Man United.
Mwanahamisi
Habari njema
Samiah
Nihabari njema
farida ahmadi
Maamuzi yao wenyewe
Ester jackson
Asante kwa nakala
warda
Habari nzuri sana