Arsenal na Manchester United wanamnyatia Dusan Vlahovic, ambaye ameacha dokezo lingine kwa mashabiki waliomuuliza kama atabaki Juventus. “Hilo si swali la kuniuliza mimi,” alijibu.

Mshambuliaji huyo wa kati bado ana mkataba hadi Juni 2026, lakini mazungumzo ya kuongeza mkataba yamekwama. Alikuwa akipiga picha na mashabiki wakati mmoja wao alipomuuliza ikiwa atabaki Juventus.
Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.
Juventus walilipa €83.5 milioni pamoja na bonasi kumsajili kutoka Fiorentina mwezi Januari 2022, na tangu wakati huo amefunga mabao 56 na kutoa pasi za mabao 14 katika mechi 142 za mashindano rasmi.



