SIMBA KUPOOZA MACHUNGU KWA SINGIDA BLACK STARS

Selemani Matola, kocha msaidizi wa Simba SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wao ujao wa ligi dhidi ya Singida Black Stars ambao ni mzunguko wa pili.

SIMBA KUPOOZA MACHUNGU KWA SINGIDA BLACK STARS

Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Liti baada ya dakika 90 ubao ulisoma Singida Black Stars 0-1 Simba SC.

Bao la ushindi kwenye mchezo huo lilifungwa na Fabrince Ngoma kwa pasi ya Jean Ahoua ambaye alipiga kona ya moja kwa moja iliyokutana na kichwa cha Ngoma.

Matola amesema kuwa wapinzani wao wapo imara kutokana na aina ya timu waliyonayo pamoja na kikosi bora walichonacho.

SIMBA KUPOOZA MACHUNGU KWA SINGIDA BLACK STARS

“Tunakwenda kukutana na timu ngumu ambayo ina kikosi imara hilo tunajua lakini ambacho tunahitaji ni pointi tatu muhimu, tupo tayari na mchezo hautakuwa mwepesi.”

Simba SC kwenye msimamo wa ligi ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi69 inakutana na Singida Black Stars iliyo nafasi ya nne na pointi 53.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.