Liverpool Kuwafuata Aston Villa Villa Park

Ligi kuu ya Uingereza EPL inarejea hii leo ambapo vijana waJurgen Kloop Liverpool watakuwa ugenini kumenyana dhidi ya Aston Villa majira ya saa 2:30 usiku.

 

Liverpool Kuwafuata Aston Villa Villa Park

Liverpool ambao msimu uliopita walimaliza nafasi ya pili, lakini mpaka sasa nafasi ya kutetea taji hilo inaonekana hafifu kutokana na mwendelezo wa matokeo ambayo wamekuwa wakiyapata katika mechi zao.

Kabla ya mapumziko ya Kombe la Dunia Majogoo walipata ushindi wao mnono dhidi ya Southampton na hii leo watakuwa na kibarua kizito pale Villa Park yenye kocha mpya Unai Emiry.

Liverpool Kuwafuata Aston Villa Villa Park

Liverpool wapo nafasi ya 6 kwenye msimamo wa ligi wakiwa wameshinda mechi zao sita kati ya 14 walizocheza, sare nne kupoteza mara nne na pointi zao 22.

Wakati kwa upande wa Aston Vila wao wameshinda michezo mitano , sare tatu na wamepoteza michezo saba, pointi 18. Mechi ya mwisho kukutana Villa walipoteza mchezo leo hii nani kuondoka mbabe?

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.