Crystal Palace wamemsajili beki Nathan Ferguson bila ada yoyote baada ya mkataba wake na kikosi cha West Bromwich Albion katika Ligi ya Daraja ya Kwanza nchini Uingereza (Championship) kutamatika.
Chipukizi huyo wa timu ya Uingereza amesaini mkataba wa miaka mitatu kuitumikia Palace.
Nathan, 19, alikataa ofa ya kurefushwa kwa kandarasi yake kambini mwa Albion waliomsajili akiwa mtoto wa umri wa miaka minane.

“Ferguson ni sajili bora zaidi kwetu. Ni miongoni mwa wanasoka ambao tumekuwa tukiwafuatilia kwa kipindi kirefu na ni afueni kubwa kwamba hatimaye tumejinasia huduma zake,” akasema Mwenyekiti wa Palace, Steve Parish.
Beki huyo alikuwa pua na mdomo kuingia katika sajili rasmi ya Palace mnamo Januari 2020 kabla ya uhamisho wake kugonga ukuta kutokana na jeraha la goti.
“Nahisi kwamba kuna mengi mazuri ambayo ninaweza kufanyia kikosi cha Palace. Nimefurahi sana kuingia katika sajili rasmi ya kikosi hiki ambacho nimekuwa pia nikiotea kukichezea,” akasema Ferguson baada ya kutia kidole kwenye mkataba aliopokezwa uwanjani Selhurst Park.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.


Sadick
Sijatarajia WBA kupoteza mchezaji wakati huu imepanda EPL #meridianbettz
Khadija
Safi sana ferguson#meridianbettz
aisha
Hongera kwako ferguson kwa kusaini mkataba wa miaka 3 kila kheri broo
mwajumah
Safii sana Ferguson#Meridianbettz
Njiku
Safii sanaa hii
Ernest
Kila la heri Nathan Ferguson, Have a bright future ahead
Ester jackson
Good news
Magdalena
Kila la kheri Ferguson
Dorophina
Maisha popote pale kila lakheri furguson
Samira
Safi sana ferguson
caroline
safi sana Ferguson .
Lydia Emmanuel Magoti
Safii sana
Rose kapinga
Habar njema hii
[email protected]
Safi sana hii
Adelta
Kila la heri Ferguson
Theckla
Safi
Fatina mfingi
Safi
devotha
kila la kheri Ferguson
Isaya massawe
Pongezi kwa Nathan amekua akifanya vizuri
Flomena
Beki huyo alikuwa pua na mdomo kuingia katika sajili rasmi ya Palace mnamo Januari 2020 kabla ya uhamisho wake kugonga ukuta kutokana na jeraha la goti.
Furahav
Hongera sana.
Saupha mohamed
Safi sanaa
christopher
anaonekana Kijana yupo vizuri huyo
lombo
habar njema
Povel
Habar njema kwa mashabik wa palace
Samiah
Safi sanaaa
Amiri Kayera
Kijan katangulia ligi kuu
Gabriel
Nathan Ferguson n bonge la bek sijajua WBA wamefikilia nn mpk kufikia hatua ya kumuacha Ferguson bek mzur aondoke bila kusikia tetes kama za usajili huko
Johnmary joel
Hongera nathan#meridianbett
Theonestina
Safi sanaa
Janeflora malisa
Nice
Genia Sikaluzwe
Habari njema hizo
Omary lukumbi
Good news
tumaini
Maoni:Habari njema
Neema juma
Safiiii sana ferguson
Fatuma kasomo
Kila la kheri
Amani
Ameangalia upepo unavumia wap ndo maana ametoka wba me naona amecheza eko #meridianbettz
felister
hongera Ferguson kwa kusaini mkataba wa miaka 3
Rehema
Kila la kheri
farida ahmadi
Habari njema Sana
Issa
Crystal wamefanya usajili wa maana pia ferguson ni beki kisiki mno
Hope mwaikuka
Safii
Shafii
Habari njema kwa wana palace.
David Pere
Ndio timu ambayo Ndio saizi take kwa kuichezea na nafasi ataipataa bila Shaka kabisa
warda
Safi sana Ferguson anajua bwana#Meridianbettz