Klabu ya Simba SC imemtangaza Ahmed Ally kama mkuu wa habari na mawasiliano wa klabu hiyo kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa kaimu Ezekiel Kamwaga.

Ahmed Ally anajiunga na Simba SC akitokea katika kampuni ya Azam Media aliyokuwa akitumikia kama mtangazaji wa habari za michezo na mchambuzi katika TV.
Katika kurasa za kijamii za klabu ya Simba SC wamemkaribisha Afisa habari wao mpya kwa maneno yafuatayo,
“Ni kijana mchapakazi, mwenye uhusiano mzuri na watu wa aina zote, mtanashati na kubwa zaidi mapenzi yake kwa Simba hayapimiki.
Ahmed Ally karibu kwenye klabu ya maisha yako kuwatumikia Wanasimba kama Afisa Habari na Mawasiliano.”
Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.


