Ukiwa na Meridianbet unaweza kuchukua pesa yako muda wowote wakati mechi inaendelea bila ya masharti yoyote endapo umebashiri mechi zako labda za siku hiyo au za wiki ni rahisi sana.
Hauna haja ya kusubiri mpaka mechi zote ulizobeti ziishe ndipo upate pesa, Lahasha bali kama uliweka mechi kumi na mechi nane zimekwisha cheza na zimeshinda unaweza kuchukua pesa yako kwa “Kuturbo”
Lakini kumbuka kuwa pesa ambayo utakuwa umeturbo haitakuwa sawa na kile kliwango ambacho ulitarajia kupata kwani mechi ambazo uliweka na uzazoturbo ni tofauti kwani zinapungua kama zilikuwa kumi zitapungua labda mpaka 8 6 4 kutokana na uhitaji wako wewe.
Usikubali kila siku upoteze pesa wewe tuu. Chukua timu zako unazoona zitakupatia ushindi na ubashiri halafu ujiweke kwenye nafasi ya kupiga mkwanja na wewe na Meridianbet.
Hebu nikupe mfano hii leo Michuano ya Klabu Bingwa inaendelea ambapo Benfica wanamualika Juventus, nyumbani kwao na mwenyeji hajapoteza mchezo wowote mpaka sasa, huku Allegri na vijana wake wakiuhitaji huu mchezo sana.
Wakati ukiwa umeweka mechi zako zingine pamoja na hii ikiwa inaendela halfu umempa Juve ashinde ikatokea kafungwa na dakika zinayoyoma Turbo mapema upate pesa hiyo kuliko kuacha halafu mkeka uchanike.
Meridianbet wanakupa ODDS bomba ambazo zinakuvutia kutumia kampuni hii kwani ina machaguo zaidi ya 1000 ambayo unaweza kuyatumia.