Makala nyingine

Wilfried Zaha “yuko tayari kuondoka” Crystal Palace, meneja wa Crystal Palace Roy Hodgson anasema… Winga huyo wa kimataifa wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 27 alihusishwa na kutakiwa na …

Klabu ya Yanga imetangaza kuachana na aliyekuwa kocha wao Luc Eymael kutoka na kutoa kauli za kibaguzi kwa mashabiki wa soka nchini baada ya mchezo wa mwisho wa ligi kuu …

Jan Vertonghen amethibitisha kuwa anaondoka katika timu ya Tottenham.Mchezaji huyo anayecheza katika nafasi ya ulinzi hajapewa dili ya kusaini mkataba mpya na Spurs kwa maana hiyo ataondoka klabuni hapo baada …

Lallana Atua Brighton

Adam Lallana atajiunga na Klabu ya Brighton kwa mkataba wa miaka tatu kufuatia kumalizika kwa mkataba wake huko Liverpool, huku uhamisho huo ikitarajiwa kuthibitishwa mapema wiki ijayo. Klabu hiyo chini …

Saka Yupo Njiapanda

Winga kinda wa Klabu ya Arsenal, Bukayo Saka amesema kuwa itakuwa changamoto kubwa kuchagua kati ya England au Nigeria, endapo utafika wakati ya kuchagua timu ya taifa ya kuiwakilisha kimataifa. …

Kocha mkuu wa Inter Milan Antonio Conte amezungumza uwezekano wa nyota wa Barcelona Lionel Messi kuhamia katika ligi ya Italia. Msimu wa 2019-20 kumekuwa na tetesi za kundoka kwa mchezaji …

Baada ya kocha wa Chelsea Frank Lampard kudai kwanba Liverpool wana kiburi, Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amemuambia ajifunze kuficha hisia zake baada ya mchezo kumalizika. Klopp amesema Lampard alivuka …

1 2 3 108 109 110 111 112 113 114 115 116
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.