Hekeheka za Liverpool na Usajili!
Football

Liverpool imeamua kukacha mkakati wao wa kumsajili winga wa klabu ya Monaco, Thomas Lemarbada! Hii ni mara baada ya klabu hiyo kuomba dau la paundi milioni 90 kwa mchezaji huyo! …

Soma zaidi
Conte Kuondoka The Blues? Nani Kumrithi?
Football

Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na habari kuwa meneja wa klabu ya soka ya Chelsea, Antonio Conte ana uwezekano mkubwa wa kuondoka pale Darajani Stamford kipindi cha mwisho mwa …

Soma zaidi
The Blues Watupia Jicho Ujerumani!
Football

Kuna habari kuwa klabu ya Chelsea inamhitaji sana mchezaji mshambuliaji wa klabu ya huko Ujerumani ya Borussia Monchengladbach na Ubelgiji aitwaye Thorgan Hazard! Mchezaji huyu ana umri wa miaka 24 …

Soma zaidi
Pep Anangojewa kwa Hamu na Fred!
Football

Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Shakhtar Donetsk na Brazil Fred ambaye ana umri wa miaka 24 anasema anangojea kwa hamu kubwa kupokea simu ya meneja Guardiola …

Soma zaidi
Vipimo Vya Afya: Barca Wagundua Kuwa Coutinho Ana Majeraha
Football

Mwanasoka mahiri Philippe Coutinho atalazimika kukaa nje ya uwanja kwa muda wa majuma matatu! Hii ni mara baada ya vipimo vya klabu mpya iliyomsajili Barcelona kugundua kwamba staa huyo ana …

Soma zaidi
Mark Hughes Atimuliwa Stoke
Football

Stoke City imemtimua aliyekuwa kocha wake Mark Hughes baada ya kufungwa na timu ya daraja la pili Coventry City Jumamosi katika michuano ya kombe la FA. Stoke City walipoteza kwa …

Soma zaidi
EPL Inafunga Mwaka, Nani Kutamba?
Football

Wikiendi imewadia na ni muda wa kushuhudia mitanange ya Ligi Pendwa duniani, yaani, Ligi Kuu ya Uingereza ikiwa ni gemu za kufungia mwaka. Tumeona hekaheka za maana sana siku ya …

Soma zaidi
Carvalhal Kocha Mpya Swansea
Football

Swansea City imemteua kocha wa zamani wa Sheffield Wednesday, Carlos Carvalhal kama kocha wao wa kudumu. Kocha mchezaji Leon Britton ndio alikuwa kocha wa muda wa Swansea tangu Paul Clement …

Soma zaidi
Rickie Lambert Atangaza Kustaafu
Football

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na Cardiff City Rickie Lambert ametangaza kustaafu leo kucheza mpira wa miguu baada kuutumikia kwa takribani miaka 19. Lambert 35 amechezea vilabu mbalimbali …

Soma zaidi
Mendy Nje Miezi Saba
Champions League

Beki wa kushoto wa klabu ya Manchester City Benjamin Mendy atakuwa nje kwa miezi saba baada ya kupata majeraha ya goti. Mendy alipata majeraha hayo katika mchezo wa ligi kuu …

Soma zaidi
1 2 3 2,039 2,040 2,041 2,042 2,043 2,044