Hughes ni wa Watakatifu Tena!
Football

Southampton imethibitisha kwamba Mark Hughes ndiye meneja wao wa kikosi cha kwanza klabuni hapo! Hughes amepata kibarua hicho kwa mkataba unaoenda mpaka mwishoni mwa msimu huu na jukumu lake la …

Soma zaidi
Willian Kunaswa na United!
Football

Inadaiwa kwamba klabu ya soka ya Manchester United imehitaji kumfanyia usajili mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya Chelsea na Brazil, Willian. Wanataka kufanya hivi mwishoni mwa msimu huu wakati …

Soma zaidi
Marco Silva Kuchukua Nafasi ya Kocha Southampton
Football

Inadaiwa kwamba Marco Silva ambaye alikuwa ni mkufunzi wa klabu ya soka ya Watford ni moja wapo ya wakufunzi wanaoonekana kwamba ni dhahiri watachukua kazi ya kuifudisha klabu ya soka …

Soma zaidi
Klabu 4 EPL Zinamfukuzia Mmoja
Football

Habari zinasema kwamba klabu za soka za Watford, Liverpool, Arsenal na West Ham zote zinamuwinda msakata kabumbu nafasi ya kiungo cha kati wa Benfica, Bryan Cristante wa Ureno. Pamoja na …

Soma zaidi
Klopp: Liverpool Tupo Tayari Kukutana na Yeyote!
Champions League

Mara baada ya kupita kwenye hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, sasa kocha wa klabu ya soka ya Liverpool, Jurgen Klopp amedai kwamba yeye hajali ni timu …

Soma zaidi
Nyanda Thibaut Courtois na Dili la Usajili!
Football

Kumekuwa na mazungumzo kuhusiana na mkataba mpya kati ya Courtois na klabu yake ya Chelsea ambayo yamesogezwa mbele mpaka majira ya joto msimu huu. Mazungumzo hayo yanatokana na habari kwamba …

Soma zaidi
Madrid Kutua City!
Football

Moja ya tovuti za habari za soka zinadai kwamba klabu ya soka ya Real Madrid inamfanyia uchunguzi mchezaji nafasi ya winga wa klabu ya Manchester City ya kule Uingereza! Anayezungumziwa …

Soma zaidi
Wanne Wanamnyatia Benzema
Football

Kwa mujibu wa AS inadaiwa kwamba mchezaji nafasi ya mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema anafukuziwa na vilabu vinne huko majuu! Mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 30 …

Soma zaidi
Ni Ama Kifungo au Sanchez Alipe Faini!
Football

Msukuma gozi mpya wa Mashetani Wekundu wa jiji la Manchester, Alexis Sanchez amepata hukumu ya miezi 16 jela! Hii imetokana na kosa lake la ukwepaji wa kulipa kodi wakati akiwa …

Soma zaidi
Emre Can Kusalia Anfield?
Football

Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Liverpool, Emre Can anaweka wazi kwamba hajasaini makubaliano ya kujiunga na Juventus msimu huu! Anasema kuwa kwa sasa bado anaongea na …

Soma zaidi