Inadaiwa kwamba klabu ya soka ya Manchester United imehitaji kumfanyia usajili mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya Chelsea na Brazil, Willian.
Wanataka kufanya hivi mwishoni mwa msimu huu wakati ambapo msakata kabumbu huyo aliye na miaka 29 akitarajiwa kugharimu kiasi cha paundi milioni 60.

