This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Kombe la Dunia: Kikosi cha Brazil Hiki Hapa
Hiki hapa ni kikosi kamili cha Brazil kuelekea Kombe la Dunia mwaka huu kule nchini Urusi: Walinda lango: Alisson (Roma), Ederson (Manchester City), Cassio (Corinthians). Mabeki: Danilo (Manchester City), Fagner …
Benitez Kuungana na Skrtel
Inadaiwa kwamba mkufunzi wa klabu ya soka ya Newcastle, Rafael Benitez anahitaji kuungana tena na msakata kandanda Martin Skrtel ambaye ni beki wa zamani wa klabu ya Liverpool siku za …
“Fred Amejiunga na Klabu Kubwa Sana!” – Willian
Willian ambaye ni kiungo wa Chelsea na ambaye kwa sasa ni mmoja wa wasakata kabumbu ambao wanaunda timu ya taifa ya Brazil amefunguka na kusema kwamba Fred amejiunga na timu …
Hofu ya Mourinho kwa Gareth Bale
Kwa mujibu wa chanzo cha habari za michezo cha Daily Express inadaiwa kwamba meneja wa Manchester United, Jose Mourinho ana hofu juu ya ushindani wa malipo ya kifedha kwenye usajili …
Lazio Kuuza Mmoja kwa Man U
Vyanzo kadHaa vya habari vinasema kuwa Mashetani Wekundu wamepeleka maombi yenye thamani ya euro milioni 96 kwa moja ya klabu kubwa maarufu za huko Italia, Serie A. Ombi lao ni …
Kikosi cha Argentina Kombe la Dunia; Icardi Nje
Wachezaji washambuliaji akina Lionel Messi, Sergio Aguero, Paulo Dybala na Gonzalo Higuain wametajwa kwenye kikosi cha wasakata kabumbu 23 ambao wataiwakilisha nchi ya Argentina katika michuano ya kuwania Kombe la …
Chelsea na Manchester United Uwanjani!
Leo hii kuna gemu kali ambayo ni mechi ya Fainali ya kuwania Kombe la FA. Gemu hii ni kati ya mahasimu wawili wakongwe Chelsea na Manchester United wote wa huko …
Kombe la Dunia: Kikosi cha Ureno na Jezi
Ikiwa zimesalia siku chache sana kuanza kwa michuano ya kuwania Kombe la Dunia huko Urusi mwaka huu hiki hapa ni kikosi cha taifa la Ureno: Walinda lango: Anthony Lopes (Lyon), …
Guardiola: Heshima ya Kombe Inaenda kwa Wanangu!
Baada ya juzi kuvishwa taji la Ligi Kuu ya Uingereza, meneja wa klabu mabingwa Manchester City, Pep Guardiola amesema kwamba atawapa wanaye medali yake ya kwanza ya ushindi alioupata! Meneja …
Dyabala Kutua Bayern?
Tetesi za soka zilizovuma mwishoni mwa juma hili zinadai kwamba klabu ya soka ya Bayern Munich inao mpango wa kuwasilisha maombi yake ya kumfanyia usajili mchezaji mshambuliaji wa klabu kongwe …