Hofu ya Mourinho kwa Gareth Bale

Kwa mujibu wa chanzo cha habari za michezo cha Daily Express inadaiwa kwamba meneja wa Manchester United, Jose Mourinho ana hofu juu ya ushindani wa malipo ya kifedha kwenye usajili ujao wa moja ya nyota ambao anawafukuzia sana wajiunge naye Old Trafford!

Ugumu upo wapi?
Huu ni usajili wa mchezaji Gareth Bale wa Wales na utata unatokana na bei yake ambapo Real Madrid wanasemekana kuwa wanataka kumpiga bei kwa dau la paundi milioni 200. Bale anacheza nafasi ya mshambuliaji na ana umri wa miaka 28 sasa. Tusubiri kuona ambavyo itakuwa kuhusiana na usajili wake.

Hofu ya Mourinho kwa Gareth Bale

4 Komentara

    Asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Hii habari nzuri sana

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Axante kwa habar

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.