Simba Hawana Huruma Kwa Fountain Gate Leo
News

Seleman Matola kocha msaidizi wa Simba SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara ya NBC dhidi ya Fountain Gate unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa jioni ya …

Soma zaidi
Eze Azidi Kung’ara, Arteta Asema Bado Kuna Mengi Zaidi
Daily News

Mikel Arteta, ameonyesha imani kubwa kwa Eberechi Eze baada ya kiungo huyo kufunga bao lake la kwanza kwa klabu hiyo katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Port Vale kwenye Kombe …

Soma zaidi
TRA United SC Yatua Rasmi Dar es Salaam
Daily News

Klabu ya Tabora United, iliyokuwa ikiwakilisha mkoa wa Tabora katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, sasa imeingia katika sura mpya baada ya kununuliwa rasmi na Mamlaka ya Mapato Tanzania …

Soma zaidi
Mourinho Arudi Benfica Baada ya Miaka 25
Daily News

Kocha maarufu duniani, Jose Mourinho, ametangazwa rasmi kuwa meneja mpya klabu ya Benfica ya Ureno, akirejea katika klabu aliyowahi kuinoa miaka 25 iliyopita. Mourinho, mwenye umri wa miaka 62, amesaini …

Soma zaidi
JKT Queens Waibuka Mabingwa CECAFA 2025
Daily News

Rasmi sasa Mabingwa wa soka la wanawake Tanzania, JKT Queens, wameandika historia nyingine kubwa ya kuvutia baada ya kutwaa taji la Mashindano ya CECAFA Women’s Championship 2025. Mabingwa hawa wa …

Soma zaidi
Yanga Na Kipigo Cha 6 Kwa Mtani
Daily News

Klabu ya Yanga SC chini ya Kocha wake Mkuu, Romain Folz imetwaa taji la Ngao ya Jamii kwa ushindi mbele ya watani zao wa jadi Simba SC katika mchezo uliochezwa …

Soma zaidi
Ligi ya Mabingwa (UEFA) Kuanza Kutimua Vumbi Leo
Champions League

Je unajua kuwa leo hii usiku wa Ulaya (UEFA) unaanza?. Timu mbalimbali kutoka Mataifa mbalimbali zinachuana vikali kusaka pointi tatu muhimu. Leo hii kuna Arsenal. Real Madrid, PSV na wengine …

Soma zaidi
Chama Aipa Ubingwa Wa Kwanza Singida Black Stars 2025
Daily News

Kiungo mpya wa Klabu ya Singida Black Stars, Clatous Chama ameipa ubingwa wa kwanza timu hiyo baada ya kufunga mabao mawili katika mchezo wa fainali Kagame Cup 2025 dhidi ya …

Soma zaidi
Simbu Aweka Rekodi Mbio Za Marathoni 2025
Other Sports

Mtanzania Alphonce Simbu ameweka historia mpya katika riadha ya kimataifa baada ya kushinda medali ya dhahabu kwenye mashindano ya mbio za Dunia yaliyofanyika jijini Tokyo, Japan. Katika mbio za kilomita …

Soma zaidi
Manchester City Yawachakaza United 3-0 Ligi Kuu
Daily News

Manchester City imerejea kwa kishindo kwenye njia ya ushindi baada ya kuicharaza vikali Manchester United kwa mabao 3-0 kwenye mchezo wa derby ya Manchester. Erling Haaland na Phil Foden waliibuka …

Soma zaidi
1 2 3 4 5 6 7 8 2,176 2,177 2,178
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.