Salah Awapa Ushindi Liverpool Dakika za Jioni
Daily News

Liverpool wameendeleza rekodi yao ya ushindi katika Ligi Kuu ya Uingereza kwa kuibuka na ushindi wa bao 1–0 dhidi ya Burnley, kwenye mchezo uliochezwa ugenini katika uwanja wa Turf Moor. …

Soma zaidi
Yanga Vs Simba Yamebaki Masaa Machache
Daily News

Mashabiki wa soka nchini wapo kwenye hekaheka za kusubiri pambano kubwa zaidi la mpira wa miguu kwa ngazi ya klabu, Dabi ya Kariakoo, ambapo vigogo wa Tanzania Bara, Yanga SC …

Soma zaidi
Vardy Afungua Ukurasa Mpya Italia
Daily News

Mshambuliaji wa zamani wa Leicester City, Jamie Vardy, ameanza rasmi sura mpya ya maisha yake ya soka kwa kujiunga na klabu ya Serie A ya Cremonese, akisisitiza kuwa “umri ni …

Soma zaidi
Simba SC Yatangaza Rasmi Kikosi Kipya 2025/26
Football

Ikiwa ni siku iliyosheheni shamrashamra na hisia za mashabiki wa soka, Simba SC imetangaza rasmi kikosi chake cha msimu wa 2025/2026 kupitia tamasha la Simba Day lililofanyika kwenye Uwanja wa …

Soma zaidi
Real Betis Wabadili Mustakabali Wa Mkataba Wa Antony
News

Klabu ya Real Betis imethibitisha kumsajili rasmi Antony kutoka Manchester United kwa ada ya awali ya pauni milioni 19. Hata hivyo, maelezo ya kina ya makubaliano hayo yameonyesha mabadiliko makubwa …

Soma zaidi
Alcaraz Ajiondoa Davis Cup Baada ya Kutwaa Taji la US Open
Tennis

Nyota wa tenisi kutoka Hispania, Carlos Alcaraz, ametangaza kujiondoa katika mashindano ya kufuzu Davis Cup dhidi ya Denmark wiki hii, licha ya kujumuishwa awali kwenye kikosi cha taifa. Uamuzi huo …

Soma zaidi
Leo Afrika Ni Ya Moto Kufuzu Kombe la Dunia 2026
Football

Soka la Afrika linaendelea kushika kasi huku hatua ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 ikifikia Raundi ya 8. Timu kadhaa kubwa zipo uwanjani leo, zikisaka pointi muhimu zinazoweza kufungua milango …

Soma zaidi
Yanga Yafungua Ukurasa Mpya, Mkutano Mkuu 2025
Football

Klabu ya Yanga SC imeandika historia mpya katika safari yake ya ukuaji baada ya kufanikisha Mkutano Mkuu wa Wanachama (AGM) wa mwaka 2025, ambapo maamuzi na mipango mikubwa yamepitishwa kwa …

Soma zaidi
Karia Awaonya Waamuzi Kuelekea Msimu Mpya
Football

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, ametoa onyo kali kwa waamuzi wote watakaoshiriki katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu ujao, akieleza wazi kwamba hakuna utaratibu wa …

Soma zaidi
AS Roma Inamhitaji George wa Chelsea
Daily News

AS Roma bado wanapigania usajili wa Tyrique George, lakini mpango wa kubadilishana Gimenez-Dovbyk na Milan wapoa tena. Kuna taarifa zinazoendelea kuripoti kwamba Roma wanatumaini kumsajili Tyrique George kutoka Chelsea siku …

Soma zaidi
1 2 3 4 5 6 7 8 9 2,176 2,177 2,178
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.