Anuary Jabir Ameenda KAA Gent ya Ubelgiji Kwaajili ya Majaribio

Mshambuliaji wa Kagera Sugar Anuary Jabir amepata mwaliko wa wiki mbili wa kufanya majaribio na klabu ya KAA Gent ya nchini Ubelgiji inayoshiriki First Division A.

 

Anuary Jabir Ameenda KAA Gent ya Ubelgiji Kwaajili ya Majaribio

Anuary Jabir atafanya majaribio na klabu hiyo na endapo kiwango chake kiwawavutia huenda akajiunga na klabu hiyo ya Ubelgiji huku klabu yake ya Kagera Sugar ikimtakia kila lakheri kwenye majaribio hayo.

KAA Gent ipo nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi hiyo inayowakilishwa na timu 18 huku ikiwa imeshinda michezo yake 16, kwenye 31 ambayo wamecheza, sare 6 na kupoteza mara 9 hadi sasa.

Anuary Jabir Ameenda KAA Gent ya Ubelgiji Kwaajili ya Majaribio

Mechi ya mwisho waliyocheza walishinda kwa kishindo mabao 5-0 wakiwa ugenini. Tofauti yao na timu inayoongoza ligi ni pointi 17.

Je Anuary anaweza kufanikisha kile ambacho kitakuwa kimempeleka na Tanzania ikashuhudia vijana wake wakicheza nje ya Tanzania na vilabu vikubwa? Bashiri mechi zako na Meridianbet kwa ODDS KUBWA.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.